Sijaona sababu ya Mahusiano mabaya kwenye BARUA yao, au tumejibweteka kwamba ni lazima kusaidiwa hata kama hatuna sababu ya Kusaidiwa? Au tuutangazie ulimwengu Tina Mgogoro wa hali ya Usalma ndani Ili waendelee kutupa misaada?
Sababu ya Kusikitika na Kuwa na haofu ni nini ilhali wamesema...
Ni Kati ya waliopandikizwa ili kuua Legacy ya Magufuli na wanaotaka Hela za Mikopo ya huo ugonjwa wa Propaganda za Kiuchumi.Pumbavu Sana hawa wachumia tumbo
Punguza upumbavu wa kujifanya una huruma,Huwezi kuidharau mamlaka zetu kwa upuuzi kama huu.Mijitu kama wewe mnatakiwa kupata elimu kwa zawadi hiyo hiyo unayoikosoa,Idiot
Acha kufikiri kama hayawanj,kama angekuwa na nguvu unazoona wewe ndio astahili kuuawa.Nyie ndio mnafanya Chama kionekane cha hovyo.Kama huwezi jifikirisha kaimisha kichwa hata Kwa mkeo
B-50
Alipokuwa Mbunge wa Upinzani Hilo tatizo la Maji lilikuwa honekani sio,Ila sasa ndio inaonekana.
Wabunge wa Upinzani Wana Vyanzo vyao tofauti vya Mapato kutatua changamoto za wananchi katika Majimbo Yao?
Unai mhuni Sana,
Juzi na Watford amefanya unnecessary Sub,tukawekwa.
Hana game plan huyu bwana,na Mlm akikwama hili uwezo Wako ni Mdogo Sana zaidi abebwe na Wachezaji wenyewe
Mbinguni hawaingii watu wanaopitia Njia hiyo,Kwa hiyo hupati pumziko Hilo unalotumainia.
Maisha ni ulipo,Sasa upo katika hilo Kesho utakuwa mahali pengine.
*Hata Inzi akiaacha Upuuzi angekuwa anatengeneza Asali,Badilika haraka sana*
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.