How about these quotes?!
If a woman sleeps alone, it puts a shame on all men.
Alexis Zorba: Damn it boss, I like you too much not to say it. You've got everthing except one thing: madness! A man needs a little madness, or else...
Basil: Or else?
Alexis Zorba: ...he never dares cut the...
Habari zilizotufikia sasa hivi ni kwamba Jaji Fatuma Massengi amekataa ombi la NCCR Mageuzi kutengua matokeo yaliyompa ushindi mbunge wa CCM Virajilal Jitu Son. Hii ndiyo hukumu ya kwanza kutolewa katika kesi za uchaguzi zilizofunguliwa na kusikilizwa hadi mwisho. Habari zaidi zitawajia hivi punde!
Hivi karibuni tumeshuhudia Rais wa Zanzibar akiapishwa na Jaji Mkuu kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri kama Katiba inavyosema, swali langu kwenu wasomi wa Sheria ni kuhusu uhalali wa kitendo hicho kisheria na kikatiba! Je hapo Katiba haijabakwa? mimi nadhani wajumbe wa Baraza la Mawaziri...
Leo nimekaa nikiwaza nchi yangu inapoenda, nikaamua kujiuliza kama kweli tuna viongozi wenye nia ya kutuongoza na kutufikisha katika neema ya angalau milo mitatu kwa siku! Nimeshindwa kuelewa ni kwa sababu zipi kila siku inabidi mtu uondoke nyumbani saa kumi alfajiri ili kuwahi kazini na ukifika...
Kuna watu wanaonekana kushabikia au kumlaumu mpiganaji Slaa kwa kusema kuwa kura zake zinachakachuliwa. Nia ni kupunguza idadi ya viti maalumu kwa upande wa Chadema ili CCM iweze kuingiza wanawake wao ambao waliwateua kwa wingi wakidhani kuwa upinzani usingekuwa na nguvu. Ni vizuri pia tukajua...
Uchaguzi umekwisha na matokeo ya Tarime yanasikitisha. Chadema imezidiwa kura chini ya 1000 na CCM... hii inaweza kuwa ni kweli au vinginevyo. Lakini lililo dhahiri ni kwamba ushindi wa Chadema ungekuwa dhahiri kama si kujitosa katika uchaguzi kwa CUF na NCCR huku wakijua kabisa kuwa kuingia...
Kuna habari nimezipata muda si mrefu kutoka Mwanza zikieleza kuwa matokeo ya Nyamagana yamegeuzwa na kwamba sasa msimamizi wa uchaguzi ana mpango wa kumtangaza Masha kama mshindi wa uchaguzi jimbo la Nyamagana! Nasikia watu wamekasirika na biashara sehemu kubwa zimefungwa. Wenya taarifa zaidi...
Nilipewa challenge hii lakini kwa kuwa kiingereza changu hakijakaa shule ninahitaji msaada wenu wa tadfsiri ya maneno haya kwa kiingereza:
"baba, mimi ni mtoto wako wa ngapi?"
Msishangae kuwa nimeuliza hapa kwenye ucheshi maana tafsiri ya maneno hayo inaweza kuwa burudani! Karibuni.
A patient went to see a doctor after a brief sickness. The doctor took some samples of the patient and sent it to the laboratory to determine what the patient was suffering from. The patient was told to come back for the results the next day. On his arrival:
DOCTOR: I have good news and bad...
2008-06-21 09:34:53
By Lusekelo Philemon, Dodoma
The five-year tax holiday enjoyed by tourist hotels owned by foreign investors in Tanzania have drawn the wrath of Members of Parliament, some saying the exemptions were but a series of loopholes through which to evade taxes after the grace...
A man asks his Doctor how to live longer, Doctor asks him:
U smoke? "no"
U drink "no"
U gamble "no"
U love sex "no"
Then what the https://jamii.app/JFUserGuide U want to live so long for?
There have been many reasons why marriages have been unstable of recent. One reason is that men find it impossible to cope with a woman who gives them no space. New research has found that women are designed to react more emotionally. Men, on the other hand, will have a negative response to too...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.