Hapana umekosea kiasi, ukweli ni kua ukikutwa HIV + na kipimo cha kwanza hua mpimaji anatakiwa kuthibitisha kwa test nyingine ambayo ni sensitive na accurate zaidi na si baada ya miezi mitatu, nimesahau majina ya vipimo hivyo ila confirmation hufanyika kwa kipimo kiitwacho ELIZA, kwa kawaida...
Nimekua mfatiliaji wa vipindi vingi vya itv hasa kipindi cha taarifa ya habari cha saa 2 na saa 5 usiku kwa kutumia king'amuzi cha startimes. Miezi michache iliyopita kulikua na kutoonekana vizuri kwa vituo vya IPP ( ITV na EATV) kwenye king'amuzi cha Startimes, watu waliongea sana na thread...
Habari wana jamii. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninashida na magazeti ya wiki ya kwanza ya mwezi huu. Magazeti yenye ni guardian ama nipashe mimi niko dar. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.