Search results

  1. L

    Mngemuacha Maswi TRA njue maana ya Bunnge

    Sasa mbona Muhongo waziri? Au yeye Escrow ilikuwa haimuhusu?
  2. L

    Rais John Magufuli ukimteua Kafulila arudi bungeni utakuwa umerejesha imani kubwa

    Raia walishamwamini ndio maana wakampa urais! Huyo Kafulila watu wake wamemkataa unategemea atapata huruma ya rais msiomtambua?
  3. L

    Taarifa ya Edward Lowassa juu ya hali ya kisiasa Nchini na Mustakabali wa Zanzibar, Nov 15, 2015

    Unaisimamiaje serikali usiyoitambua? Unapokea mshahara kutoka serikali usiyoitambua? Inaleta miswada unaijadili???? Huu ni wazimu wa hali ya juu.....
  4. L

    Azam TV acheni kutuchakachua

    Wabongo sijui tuko vipi, ina maana ulilipia hiyo package bila kujua contents zake? Ndio maana kuna "Vigezo na masharti kuzingatiwa."
  5. L

    UKAWA haya lazima yajadiliwe

    Shark Mama Regina Lowassa 'alipewa' ubunge wa viti maalum kabla ya kuukataa. Alipigiwa kura wapi?
  6. L

    VODACOM Tanzania kama mmeshindwa kazi waachieni wengine!

    Hapa kama ni kweli basi tatizo si vodacom, NI WEWE! Hao wengine unaosema waachiwe mbona wapo? Kama wamekuchosha badala ya kulalamika chukua hatua....
  7. L

    Bunge la 11: NDIYO za wabunge wa CCM kupitisha Miswada kuisha!

    Plus, viti maalum idadi ya chadema iliyotangazwa na NEC sio 43, ni 34.
  8. L

    Magufuli hatambuliki E.A.C?

    Hata kupongeza ni protocol tu, kama hawamkubali wasingekuja.
  9. L

    Kwanini wanawake wengi ni wepesi kununua viwalo, lakini wavivu kununua chupi zao?

    Hii labda inakuhusu peke yako, wetu wananunua.
  10. L

    TB JOSHUA: Michael Jackson, na Rais wa Poland na Mkewe, wasingekufa kama wangenisikiliza

    Akashindwa kutabiri kuanguka kwa jengo lake na kuua waumini wengi.....!!!!
  11. L

    Kwanini viongozi wa CCM hawataki kutoa tamko la vijana wao kumvamia Mengi

    Chadema waliwahi kutoa matamko kuhusu vijana wao kumzomea Magufuli?
  12. L

    Rais Kikwete afanya Mazungumzo na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif - Ikulu ya Dar

    Sio kweli???? Unaijua historia ya Zanzibar kweli? Chanzo cha kuondolewa Aboud Jumbe ni nini?
  13. L

    Hakuna Rais wa Nchi za East Afrika aliyempongeza Magufuli

    Mbona wote wanakuja kushuhudia anavyoapishwa?
  14. L

    Walichopaswa kufanya viongozi wa UKAWA mpaka sasa

    Iweke hapa tuione...
  15. L

    Hii kali sasa: Shule ya kwanza kitaifa matokeo darasa la saba imetokea Geita!

    Doh, kabla ya kukurupuka na kuandika hii post, uliwahi hata angalau kuangalia matokeo ya hiyo shule unayoiponda ili kujiridhisha? Nani aliyeturoga na upumbavu wa aina hii?
  16. L

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Ku-google leo au la, ukweli unabaki pale pale. ICJ haina jurisdiction ya kuamua kesi kama hizi, acheni uzushi.
  17. L

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Exactly, watu wangeacha uvivu kidogo wakatafiti. ICJ inahusika na kesi kati ya nchi na nchi, na kutoa ushauri wa kisheria kwa UN na taasisi zake. Haina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hii.
  18. L

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Fungua website ya ICJ uone kama wana mamlaka (jurisdiction) ya kutolea uamuzi kesi ya aina hiyo, msikaririshwe. Jurisdictions za ICJ ni mbili tu, kwanza, wanahusika na kesi KATI YA NCHI NA NCHI(KWA MUJIBU WA SHERIA ZA KIMATAIFA), NA PILI NI KUTOA USHAURI WA KISHERIA KWA UN NA MASHIRIKA YAKE.
  19. L

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Fungua website ya ICJ uone kama wana mamlaka (jurisdiction) ya kutolea uamuzi kesi ya aina hiyo, msikaririshwe. Jurisdictions za ICJ ni mbili tu, kwanza, wanahusika na kesi KATI YA NCHI NA NCHI(KWA MUJIBU WA SHERIA ZA KIMATAIFA), NA PILI NI KUTOA USHAURI WA KISHERIA KWA UN NA MASHIRIKA YAKE.
  20. L

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Kweli 'Elimu elimu elimu'!!! Kwanza mwandishi hata hajui jurisdictions za ICJ, amekurupuka. "JURISDICTION "The International Court of Justice acts as a world court. THE COURT HAS A DUAL JURISDICTION : it decides, in accordance with international law, DISPUTES OF A LEGAL NATURE THAT ARE...
Back
Top Bottom