Pipooziiiií, Arusha msilale lale lalee Arusha msilalee bado mapambano, hu wimbo unanikumbusha mbal kwel,,hongereni sana makamanda kwal arusha ndo chanzo cha ukombozi tz...ccm nawapa pole ila mlishndwa tu kusoma Alama za nyakati, au hamkujua mko Arusha? .arusha mpaka kuku, ng'ombe,wote wana chata...
hahahahahahaaaa me sisemi jaman nina furaha isiyo kifani na uhakika wa kushikilia nchi 2015 tunao'..ARUSHA maisha lainiiiiiíi, pipoziiiiíiii powerrrrrr
we Msolwa unaönekana sio mwenyeji wa Arusha, hv unajua Arusha wote ni chama gan?.we kama huiwezi siasa kaa kmya maana we mwenyewe kwanza hujijui ni Taifa gan, acha wa2 wa Arusha 2pganie haki yetu, we ni kilaza tuu huna swaga..sio ajabu hata Arusha hujawahi hata kufika unaiona tu kwenye...
mim nilikuwa naomba mnisaidie hapo kwenye sekta binafisi za biashara na viwanda, hapo vp mbona me cjaelewa wameweka kwenye kundi gan kati ya hayo? Maana me cjaona sehemu inayozungumzia kima cha chini cha viwanda na biashara, ningeomba mnisaidie hlo labda me ndo cjaelewa..Asanten wakubwa
tunawashukuru sana makamanda kwa kutujulisha kinachoendelea kwenye uchaguzi Arusha,,,me ninachomuomba Mungu ni amani itawale,,,najua watu wa arusha wapo vizur na chadema,,chadema in our blood Arusha,.ccm polen ila itabid mkubaliane na matokeo... japo nipo nje kidogo na Arusha lakn tupo pamoja...
hahahahahahahahaaaa hyo kali kweli,, huyu changu alifikiri na yule mke wa jamaa anajiuza ikabid amwambie achukue chake mapema,.yalaaaaaaaaa hahahahahaha te te te teee. Tobaaaa
hahahahahahahahaaaa hyo kali kweli,, huyu changu alifikiri na yule mke wa jamaa anajiuza ikabid amwambie achukue chake mapema,.yalaaaaaaaaa hahahahahaha te te te teee. Tobaaaa
hahahahahahahahaaaa hyo kali kweli huyu changu alifikiri na yule mke wa jamaa anajiuza ikabid amwambie achukue chake mapema,.yalaaaaaaaaa hahahahahaha te te te teee. Tobaaaa
namshukuru mungu sijapoteza muda wang kumalzia huu hupuz ulioandkwa hapo juu..sasa kwa taarifa yako wa2 wa Arusha 2najitambua na hata siku moja Arusha hawawez kuongozwa na ccm nyie kama mnataka aman na wananchi wa arusha achen kupgania utajiri wa Arusha..ni bora tufe kwa kupgania hak ye2..wew...
kwanin Ccm wanapgania utajiri wa arusha? Kwan ni lazma waiongoze? Kama wananchi tumekataa kwanin wanalazmisha kwa kumwaga damu za wa2 wasio na hatia na kuuwa ndugu zetu kila siku?.ccm wote ni wapumbavu na elmu yao darasa la 7 na form4 sasa watawezaje kuongoza makamanda? MAISHA YAO YOTE WASAHAU...
acha mambo ya ajabu we Nambalaga mbona unaongea kama alyeshtuliwa usingzin? Wangekuwa ndugu zako ndo wamefariki ungeongea pumba unazoongea?.acha ujinga kuwa kama umemalza darasa la saba bas,.unakuwaje kama m2 bak utadhan hi sio nchi yako?.kama una cha kuandika bora ukae kimya..kwan lazima?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.