Wadau wa Zanzibar kama mpo natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Michenzani, Kikwajuni, Mtendeni, Mlandege na Kilimani.
Iwe na vyumba viwili ya kulala au vitatu.
jiko na living room.
Hivi nijauliza wale wanaoana na bado wako bikira itakuaje?
Siku ile unaenda fungate na mume wako au mke wako mnaanza kwa mara ya kwanza.
Unamvua mke wako chupi kwa mara ya kwanza na yeye anakuvua, mara bwana ana shughuli kama mhogo wa Jang'ombe na haupiti kwenye tundu yoyote.
Au ana kibamia...
Nashindwa kuwaelewa hawa NECTA
Kwanini hizi results wasiziweke kwa Alphabet?
Kutafuta shule mpaka ufanye kazi ya ziada.
Ingekua rahisi kama natafuta Tabora boys ningekwenda kwenye "T" kuliko hii juu chini kushoto kulia.
No uliahidi audio ukasema itamuumbua Mohamed.
Sie wengine twaisubiri kwa hamu ili umuumbue.
Mpaka leo huna ulichoprovide bali kumpaisha Mohamed angani.
Kama nilivyosema mwanzo nilikua simjui huyu mzee wala vitabu vyake ila umeniweka mdadisi nijue vitabu vyake zaidi.
Hata kama haijafika Top Ten lakini imebainisha baadhi ya kasuku na watu waliokwenda darasani.
Leo naona umefundwa na wazee matusi umeyapunguza
Nasubiri ukiandika au kuiboresha historia ya TANU.
Na hata utaandika labda ukopi kwa Mohamed kwani kaweka mambo mengi uliyokua huyajui.
Kuna mama...
Usiwaguse wazanzibari watakutoa macho!
Kabla Nyerere hajaingia Zanzibar wazanzibari walikua wamepiga hatua kimaendeleo kushinda nchi zote za Afrika mashariki.
Ndio wa kwanza kuwa na Train.
Ndio wa kwanza kuwa na umeme.
Ndio wa kwanza kuwa na State TV
Ndio wa kwanza kupata rubani wa...
Unawaibisha wasambaa wenzako. Kutemewa mate na mzungu ndio sifa?
Waulize wa babu zako kwanini watoto wa kisambaa enzi hizo za mjerumani hawapendi kukatizia pale kilichokua chuo cha mahakama ambapo enzi hizo ilikua Deutch Schule.
Kama walikua wanapenda kutemewa mate kwanini wasitumie ile njia...
Wewe msambaa kweli akili zako ni zero.
Nilikua nafuatilia post zako kwa muda mwingi nikaona kwamba huprovide chochote bali ushabiki tu.
Wenzio wanaongelea gazeti la mtanganyika wewe unaongelea gazeti la mjerumani?
Tena wajerumani waliokua wanawatemea mate watoto wa kisambaa pale Dochi...
Hili swali nilikuuliza mimi, mbona unali-direct kwa Zomba?
Pili Zomba alikurahisishia, anasema unaweza kutuma PM kwa Yericko halafu atapewa dollars na Zomba akaichukue.
Una contacts RTD hawewezi kukutumia kwa post mpaka tusubiri utakapoenda TZ?
Halafu umesahau kuna mtu alitoa offer hapa kwahio wewe utakacholipia ni post tu ambayo haitafika hata 20$
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.