Dawa hapo ni kuwa na vitambulisho vya Taifa na viratibiwe kwenye data base, kosa lake liingizwe huko na faini zikatwe moja kwa moja kwenye akaunti yake kwa mitambo maalumu ya kiteknolojia. Komputa bwana!!! Hapo rushwa inaweza kushika adabu.
Dawa halisi ni wachungaji na mashehe wetu wa dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.