Na wewe tena umekurupuka! Waziri Mkuu yuko Uk kwa shughuli za kisiasa na amefanya mkutano wa kisiasa na ndio maana amepata audience ya kuueleza aliyoyaeleza.
Ninavyojua, huyu mama ameamua kulishikia hili suala kidedea kwa sababu ndio turufu yake ya kurudi madarakani baada ya huu muda wa mpito kuisha. Anataka kuwaonyesha watu wa malawi kuwa yeye ni jike la ukweli linaloweza kupambana na midume iliyolegealega.
Yaani wewe ndo muongo wa kupindukia. Waziri mkuu yuko Londoni na kwa taarifa yako jana kwa macho yangu nimemuona akihojiwa na Salim Kikeke wa BBC kuhusu swala la mpaka wa Tanzania na Malawi. Punguza kukurupuka ndugu. Wewe sasa ndo unapaswa kuwa mkweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.