Ikiwa tsh milioni 10 ni hela ya MBOGA kwa TIBAIJUKA.
Je, mshahara wa mwalimu kwa mwezi, Tibaijuka angeweza kununua nini?
Tiririka mwalimu ili uone kama upo sehemu sahihi.
Katika hali isiyotarajiwa katibu wa kata wa CCM amepeleka pingamizi kwa msimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata ili wagombea wote wa CHADEMA waondolewe kwa kuwa hatambui chama kinaichoitwa CDM kilichowadhamini wagombea wake.
Hii imetokea katika kata ya NKOMA.
Siku ya uchaguzi serikali za mitaa unatakiwa kuwa na kitambulisho kimoja kati ya hivi;
->kitambulisho cha mpiga cha uchaguzi mkuu,
->kitambulisho cha kazi,
->hati ya kusafiria,
kadi ya benki,
kadi ya bima ya afya
kitambulisho cha shule,
au
leseni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.