Search results

  1. C

    CHADEMA: Tutafanya Maandamano Makubwa ya Mapokezi ya Wabunge wetu

    plz mlete bidhaa za chama kama kofia, tshirt, mashati, miamvuli nk, mi ntanunua
  2. C

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    lissu, msigwa, mdee, nassar, mnyika, machali, dah nyie kweli kiboko ya magamba! go go gooooooooo mpk kieleweke
  3. C

    Nimeitwa interview UDOM lakini sitaenda...

    nenda bana mbona wapare hatuna hiyo tabia ya ukanda na ukabila, km madai yako ya kweli uyo jamaa anatuchafua wapare
  4. C

    Safari ya Anne Kilango Malecella yaiva kuliaga Bunge

    Ndo tushaamua! HATUMTAKIIIIIIIIIIIIII
  5. C

    Unafiki wa Chadema Ni Huu

    Ni bora kuuliza kwanza kuliko kupost mambo usiyoyajua! owkey kwa kukusaidia tafuta DVD ya m4c dar mpk moro itakujibu!
  6. C

    Unafiki wa Chadema Ni Huu

    Ni bora kuuliza kwanza kuliko kupost mambo usiyoyajua! owkey kwa kukusaidia tafuta DVD ya m4c dar mpk moro itakujibu!
  7. C

    CDM yamhenyesha Pinda uingereza

    tukitoka uingereza tunaelekea oman!
  8. C

    Dk. Kitila Mkumbo hajasoma vema Katiba ya CHADEMA...

    Zitto yuko kivyakevyake, viongozi wa kitaifa wakiwa ktk mikutano yeye hayupo, mara atoe kauli tata, sina imani nae 100%. Atakama alitoa muda wake akiwa udsm kuhangaikia chama, cdm imekuja juu baada ya dr slaa kusimama 2010, then misimamo ya kina mbowe, mnyika, lissu, wenje, mdee, lema etc...
  9. C

    PICHA: Watoto halaiki waandamana kudai POSHO ZAO (Mwenge)

    wataambiwa wamekosa uzalendo! chezea magamba wewe!
  10. C

    Dk. Kitila Mkumbo hajasoma vema Katiba ya CHADEMA...

    wafuasi wa ponda utawajua tuu, nenda kajisalimishe!
  11. C

    Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    namimi ngoja nikalinde la kwetu!
Back
Top Bottom