Wala si dhambi, kimfaacho mtu chake. Juzi juzi nilikuwa katika nchi fulani ya Afrika, nikashuhudia binti wa miaka 22 akimnunulia baba yake nguo ya ndani. Nikamwuliza mara mbili, akasema "ndio, ni ya baba hii"
Binadamu pekee hatuwezi. Kwa Mungu yote yanawezekana.
Kila wakati nimehisi, ndoa zingekuwa ni mkataba wa muda fulani hivi, ambao mnaweza kuuongeza.
Vinginevyo ni maisha magumu kuliko tulivyofikiri.
Wewe ukiathirika kwa namna yeyote ile utaweza ku volunteer kuweka picha yako kwenye hizo kona? Maana si kila anayeathirika ni mzinzi, na kuwa anastahili adhabu na majuto.
Na hata kama ni mzinzi, kwanini wapenda kumhukumu mwenzako?
The Boss,
Hayo yote ni dalili tosha ya kuwa tunda linamegwa. Je, kama mimi ndo ninayechelewa kurudi kazini sikuzote kwa sababu ya majukumu, si ndo ntakuwa sijui kabisa kama mwenzangu anamegwa? mana sitamwona anapowahi kwenda kouga, simu hana haja ya kujificha, na labda mtakuwa nimejichokea na...
waswahili walisema, kula nanasi kwahitaji nafasi... sasa wenzangu namimi chumba kimoja, kitanda, kabati, stoool, meza na kila kilicho chetu humo humo... hilo kombolela utalichezaje? ukirusha mpira akishindwa daka mara puuu kabati la vyombo, glass mbili meng'emeng'e.
mpangwa1,
kuna utafiti umefanya kwa hilo au walonga tu?
Mie nina jamaa yangu alisoma mzumbe ya zamani akapata advanced diploma...akaenda majuu akachukua masta yake moja kwa moja.
Mimi nadhani ukitaka kujua kama digrii ni ya ukweli ama la, kaa na wahitimu wa vyuo hivyo kisha uwatathmini kwa...
..sasa mbadala wa Kikwete ni nani? Naye ana sapoti gani ya watendaji kuanzia wenyeviti wa vijiji, makatibu watendaji, wenyeviti wa serikali za mitaa... watakaokuwa madiwani, wawakilishi wa wananchi na wabunge?
it is rather too late to circulate this message (scam) now as the local government...
inasemekana kuwa kuanzia ada estate, ukija mpaka magomeni, kuelekea kigogo, buguruni hadi vingunguti kwa jinsi miundo mbunu ya majitaka ilivyo, wakazi wa maeneo haya ni kama wanatumia choo kimoja.
Napenda kuungana na August juu ya umuhimu wa somo la Uraia hususan kipengele cha Mirathi na haswa jinsi ya kuandika wosia na umuhimu wake kwa jamii.
Matatizo mengi yahusuyo mirathi ambayo jamii nyingi hukumbana nazo yangeweza kupungua au kuisha kabisa kama kizazi kinachobaki baada ya mpendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.