hahhaahahhaha c unaona nishajua sasa ningeuliza kawaida mngeanza mitusi kama hilo jamaa hapo juu liliosema mitanzania,ok ni hvi dogo aliitwa migration na co pccb alinizngua.wikiend njema
Mbona mnaanza kujielezea humu bila mpangilio wewe kama hutaki jeshi cc haituhusu cha msingi hii ni kurasa ya nafasi za kazi kama wametangaza waambie wadau co mbwembwe nyingi,wabongo bhana.
Mwanangu hiyo list kuna mwaka walipelekwa kisutu kwa kufoji vyeti huyo mtoto wa mungai hapo alikuwepo ndani ya nyumba na bado wanapiga kazi BOT hao watu,yani hakuna interview iliyonikera kama ya TRA pale msimbaz mwez novemba mwaka jana na desemba pale IFM ya nssf inauma sana ss hawa jamaa...
Ww hakuna cha jkt kujitolea hapa ni jwtz ndio wapo huko unaficha nini cc wenyewe familia nzima wajeda msidanganye watu tafadhali watu wanataka kujua ukweli.
Jamani hao jamaa walishachukua toka tarehe 17 july mwaka huu watu waliripoti mlale songea kambini ss hvi ni miez mitatu sasa na ilikuwa kimyakimya we subiri watangaze mwaka utaisha huu utaona kimya.
Habari wana jf,mbona jwtz walishachukua professional toka july 17 mwaka huu wapo mlale songea na hyo ilikuwa ni kimyakimya na washkaji wawili wapo huko ss hv ni miez mitatu ss ishapita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.