Leo wana JF katika pitapita mitandaoni nimekuta hiii quote "if you are stand for nothing,you will fall for anything" nikaitafakari kwa mapana kwangu mie binafsi na taifa langu Tanzania.Je nini mimi binafsi nimesimamia na je nini Tanzania imesimamia?
majibu kuhusu mimi binafsi nimejijibu na...
Leo nimepata huu ujumbe(plz nisaidie kama unaweza, then issue ikitiki. mi ntakutoa ) kama private message
heading na body viko sawa
Nahisi hili ni bomu.
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.
my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
UTATA katika ujumlishaji matokeo ya kura umezidi kuongezeka baada ya matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Jimbo la Vunjo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kutofautiana na yaliyotangazwa awali na msimamizi wa uchaguzi.
Kutangazwa kwa matokeo mapya ya jimbo hilo kumefanyika katioka kipindi...
Leo nilikuwa namsikiliza JK.
kuna sehemu amenihuzunisha sana pale nilipomsikia anaimba
JK:"Daraja Daraja Daraja "
hicho kibwagizo kimenionyesha huyu mtu ni Msanii wa bongo flavor ila kakosea njia na kuingia kwenye siasa na ndio maana anaendesha nchi kisanii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.