Search results

  1. Njilembera

    Maamuzi ya kesi ndogo katika Kesi ya Mbowe na Wenzake kutolewa Oktoba 19, 2021

    SIRI???? Yaani uozo huu! Ukatili- unatamani ufichwe!? Mtu wa ajabu sana wewe. Ukitaka nchi yako iheshimiwe, jambo la kwanza ni kujiheshimu wewe na watu wako! Utu kwanza. Unakuwa kama wale wazazi wanaowaficha watoto wao vilema majumbani kwa kuona aibu wanawaacha wanateseka weeeee bila msaada!
  2. Njilembera

    Tukiwa tunasema Kanisa Katoliki ndiyo Alama rasmi ya Ukristo Tanzania na Duniani muwe mnatuelewa tafadhali

    Mhhhhh! Unawezaje kufanya majumuisho ya namna hii! Kwamba wakatoliki walikuwa wanafaulu mitihani kwa wizi wa mitihani!? Acha hizo Bwana. Ni shule gani ulisoma, ukaona hayo yanatendeka? Kufaulu sio kushinda masaa 24 unasoma. Kufaulu ni tunda la nidhamu na afya njema. Nidhamu ya kusoma kwa masaa...
  3. Njilembera

    Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

    Ingekuwa ni Kenya, kesi hii ongekuwa live kwa radio na television. Ila kwa Bongo!!!!
  4. Njilembera

    Spika Ndugai: Gwajima akirudia tutamuita Waziri wa Mambo ya Ndani na kumhoji

    Kwamba Wizara ya Mambo ya Ndani ambayo ndio inasajili makundi mbalimbali, iangalie kama kanisa la Askofu Gwajima linatekeleza majukumu yake kwa kadri ya masharti ya usajili! Yaani- kuna uwezekano wa kulifungia kanisa kama alivyofanya Kagame kule Rwanda! Musiki Mtamu, tusubiri! Na Gwajima amejibu...
  5. Njilembera

    Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

    It could well be that they sought consent of Mulamula!!
  6. Njilembera

    Magufuli alikuwa muongo sana

    Duh! Sasa na wakati mwingine uache tu kumchambua Marehemu! Huu uchambuzi fikirisha sana- umefanya kazi nzuri,ila mwache apumzike popote alipo! Imetosha!
  7. Njilembera

    TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

    Kweli ni habari mbaya! Duh! Ni kweli lakini? Oh my Lord, the gold is gone! What a big loss to the Politics of URT! RIP Prof Baregu!
  8. Njilembera

    Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

    Inasikitisha kujadili mambo mazito ukiwa na taarifa hafifu. Waziri Msuya alikuwa mbunge wa Mwanga, ni mji mdogo kando ya barabara kubwa ya kutoka Dar kwenda Arusha, SIO mlimani pili swala la umeme sio jambo la kushangaa kwa eneo hili, bwawa la Mungu liko karibu na kituo kikubwa cha kuzalisha...
  9. Njilembera

    Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    CV yake haitoshi kuwa Mkuu wa Wilaya huyu! Ndio maana alivurunda sana! Hakustahili kabisa!
  10. Njilembera

    Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

    John the Baptist ni wale wale- anatetea bila utafiti! Hajafikiwa na mikasa kama hii! TRA wakitaka na wanataka kupiga hela, wanamtafuta mmiliki wa kampuni (Managing/Executive Director) na hawataki Auditors/Accountants, wanakuita kwenda kwenye majadiliano- kabla ya majadiliano watakutumia taarifa...
  11. Njilembera

    Salamu ya Rais Samia Suluhu 'Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano' ni salamu bomba sana

    Hizi za ibadani zilikuwa ni za unafiki tena za kiubaguzi! Tena sina uhakika sana kama Asalam Aleykumu ni kwa imani ya Uislamu na ina maana sawa na hizo za wakristo. Ni unafiki kwa Mwislamu kwa mfano kuwasalimu ' Tumsifu Yesu Kristu' au kwa Mkristo 'Asalam Aleykumu! Ni ubaguzi kwa zile dini...
  12. Njilembera

    Waziri Mkuu: Watu Bilioni 3.9 Duniani jana walifuatilia Shughuli za Kumuaga Hayati Magufuli

    Idadi ya watu duniani ni karibu ya watu Billion 8 (7.9bn)- kwa takwimu hizi nusu ya dunia walikuwa wanafuatilia! Sio rahisi. Youtube wana viewers wasiofikia 2.5bn duniani. Nadhani statistics sio kwa Bilioni bali kwa Milioni- ambapo bado ni wengi yaani viewers 3.9m ni wengi sana- possible pia...
  13. Njilembera

    Viongozi wangu wa Kanisa Katoliki shida nini?

    Hii Nchi inaelekea kubaya sana! Mawakala wa shetani wako kwenye ajira ya viongozi wa kitaifa kujaribu kupotosha ukweli na uhalisia! Leo hii viongozi wa kisiasa ndio wanahubiri dini, kusisitiza sala ilhali wanayoyafanya hawajui kuwa Mungu anawaona. Sasa ona vibaraka wengi wanaingia na kukashifu...
  14. Njilembera

    Tafakuri: Serikali 3 za Tume ya Warioba hazina tofauti kimantiki na iliyokuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

    Ni uelewa tu. Tunapaswa kujifunza kinachoendelea kwa majiji mengine duniani- ".....sio lazima kwa taasisi kuwa na eneo lake la kijiografia ambalo ni la kwake pekee- Majukumu mengine yanavuka mipaka kwa mfano huduma za barabara, fire, polisi n.k. Kuna manufaa mengi kiuchumi huduma na mipango...
  15. Njilembera

    Askofu Severine Niwemugizi: Kukosekana kwa taarifa na takwimu za kuaminika kuhusu hali ya Korona kuna hasara zaidi kuliko faida

    Na neno kubwa ni kuelekezana jinsi ya kukabiliana na majanga kama haya sio KUFOKA FOKA!
  16. Njilembera

    Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

    Kweli tunajitoa ufahamu kiasi hiki!!! Doh! Yaani - nachoka! Tafiti hufanywa sio nje kwenye barafu au jua kali bali kwenye mazingira yaliyothibitiwa! Sasa PhD holder anapofikiria hivi tunakuwa na shida kweli. Kwa namna hio, hata wale wanaofanya tafiti za tiba ya ukimwi au TB huko Sweden na...
  17. Njilembera

    TANZIA Paroko wa Mwananyamala, Padri Benedict Ndeyekiyo afariki dunia

    Poleni! Sasa napata wasiwasi- mbona mapadre wamekuwa mstari wa mbele kwenda mbele ya haki kwa maambukizi mapya ya ugonjwa wa kushindwa kupumua- pneumonia? Moshi January hii alikufa Pd Lewanga, Pd Victorin Riziki na huko Bukoba Pd Irenulis Mbahulira na wengine wengi tu wako mahospitalini...
Back
Top Bottom