That is how perceive things. Kanisa Katoliki ni kanisa la Roma na wala siyo kanisa la Kikristo . Ndiyo maana haliamini katika wokovu. Pole sana unayefikiri kuna kanisa la kweli ambalo ni affiliated na Roman Catholic Church.
Sijui ni kwa nini Kileo alichukua mwanamke aliyekuwa ameachwa na mume. Hayo ndiyo madhara. Hata hivyo huyu mwanamke hana malezi mema kutoka kwa wazazi wake. Utadhani alikulia mitaani. Aibu kwa wazazi wake. Kileo rudisha mke wa mtu kwa mumewe.
Kama ilikuwa huru na wa haki ni kwa nini kulikuwa na umwagaji damu? Ni kwa nini mawakala waliondolewa kwenye vituo? Ni kwa nini wafuasi wa Chadema almost kila mahali wameswekwa ndani?
Hizi ni siku kama zile za Sodoma na Gomora ambapo ulawati was the order of the day. Haya ni machukizo makuvwa mbele za Mungu. Ndiyo maana aliwaangamiza kwa moto.
Inaonyesha ni kwa kiwango gani humjui mtumishi wa Mungu Kakobe. Ndiyo maana namuunga mkono mtoa post kwamba SIYO WOTE. Wewe unakurupuka. Onyesha utajiri wa Kakobe. Acha chuki binafsi. No research, no right to speak.
Huyu mtoa post ni extremely hopeless. You can not divert people from the reality. Hivi unawezaje kufurahia mtu kuuawa? Ni lazima uwe na ushetani mwingi sana ndani yako. Hata wewe utakufa hata kama siyo kwa kuuawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.