Orodha ya MAFISADI ilikuwa na watu kumi na moja (11).
Mmoja ni Lowasa yupo CHADEMA?UKAWA sasa.
MAFISADI wengine kumi (10) wapo wapi????????????????????????
Na baada ya list of shame Slaa alimtaja Magufuli kama FISADI, Jee alimtoa lini kwenye hiyo list?????????????
Lowasaaaaa...
Orodha ya MAFISADI ilikuwa na watu kumi na moja (11).
Mmoja ni Lowasa yupo CHADEMA?UKAWA sasa.
MAFISADI wengine kumi (10) wapo wapi????????????????????????
Na baada ya list of shame Slaa alimtaja Magufuli kama FISADI, Jee alimtoa lini kwenye hiyo list?????????????
Lowasaaaaa...
"Condenser" Hahaaa...., imani za watu hizo. Kakikuwa hako katoto taifa tutegemee nini eti...!!? By the way mi nimependa yeye mwenyewe mbunge kuingia kwenye maji kuokoa watu, ni zaidi ya kutoa hela bana. Bravooo mheshimiwa mbunge!!
Nachochukizwa hapa jf ni watu kujifanya wanahasira bila kuchukua hatua yoyote dhidi ya huu unyanyasaji wa washenzi wenye mamlaka. Hovyooo..... Acha nikaokoe watz wenzangu kwenye mafuriko.
Lakini we Zitto si ndo ulimsifia bi kiroboto ktk bunge la bajet na kuwaponda waliokuwa wanamkosoa!?? Leo imekuwaje unaanza kusema hafai eti anavunja sheria?? Zitto siamini kama bado una dhamira njema katika siasa za ukombozi wa taifa letu.
Siasa utakazofanya Igunga zitatusaidia kujua safari hii fungu la kampeni umepewa na nani. Kama ni Rostam au JK tutajua tu sababu tunajua wawili hawa wanashindana huko waziwazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.