Search results

  1. M

    kwa wanaoshangilia na kukebehi manji kuhamia zambia

    Yes ilitangazwa na Dr Silaha naye siku hizi yupo CCM pamoja na Manji
  2. M

    Mbunge Godbless Lema apandishwa kizimbani Mahakama Kuu Arusha, anyimwa dhamana

    Anawavuruga hasa mbwa wa kijani nyie. Kufa mtakufa tu mpende msipende.
  3. M

    Mbunge Godbless Lema apandishwa kizimbani Mahakama Kuu Arusha, anyimwa dhamana

    Hivi mama yako aliwahi kuolewa kweli? Sababu we inajulikana ni mtoto wa ajali akiwa kwenye ile kazi yake.
  4. M

    Rais Magufuli na CCM waliwaahidi watanzania Katiba Mpya kabla ya 2020

    Nchi inanyooshwaje juu ya msingi(katiba) mbovu na uliopitwa na wakati?? Haiwezekani kuweka divai mpya katika kiriba kikuukuu alisema Bwana Yesu.
  5. M

    Askofu Chedieli Sendoro, Serikali isitupangie cha kufanya

    Wakala wa chama cha giza kaguswa hapa na analipukaaaaa
  6. M

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Orodha ya MAFISADI ilikuwa na watu kumi na moja (11). Mmoja ni Lowasa yupo CHADEMA?UKAWA sasa. MAFISADI wengine kumi (10) wapo wapi???????????????????????? Na baada ya list of shame Slaa alimtaja Magufuli kama FISADI, Jee alimtoa lini kwenye hiyo list????????????? Lowasaaaaa...
  7. M

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Orodha ya MAFISADI ilikuwa na watu kumi na moja (11). Mmoja ni Lowasa yupo CHADEMA?UKAWA sasa. MAFISADI wengine kumi (10) wapo wapi???????????????????????? Na baada ya list of shame Slaa alimtaja Magufuli kama FISADI, Jee alimtoa lini kwenye hiyo list????????????? Lowasaaaaa...
  8. M

    Ukawa wameingilia Uhuru wa mahakama

    Uhuru wa mahakama zipi unaongelea!!?? Hizi za CCM au!!??
  9. M

    Kwa hili nampongeza sana Mbunge wa Mafia (CCM), Abdulkarim Shah

    "Condenser" Hahaaa...., imani za watu hizo. Kakikuwa hako katoto taifa tutegemee nini eti...!!? By the way mi nimependa yeye mwenyewe mbunge kuingia kwenye maji kuokoa watu, ni zaidi ya kutoa hela bana. Bravooo mheshimiwa mbunge!!
  10. M

    Mafuriko Dar. Maneno na nasaha za MBOWE Ni funika bovu

    Dah...!!! hii misifa nimecheeeka hadi kojo limetoka.
  11. M

    Mhariri wa Mwananchi, Theophil Makunga, naye kuburuzwa Mahakamani leo!

    Nachochukizwa hapa jf ni watu kujifanya wanahasira bila kuchukua hatua yoyote dhidi ya huu unyanyasaji wa washenzi wenye mamlaka. Hovyooo..... Acha nikaokoe watz wenzangu kwenye mafuriko.
  12. M

    Naomba kujua hali ya Mbunge Sumari huko India

    Mama angu longi alikuwaga anaipenda ccm ila siku hizi akisikia viongozi wao wanaumwa anasema bora wapitilize ili wapungue.
  13. M

    Mbunge wa Dom Mjini

    Muanzisha mada anaonekana mbea mbea hiviii..., mtu wa taarabu sanaaa na magamba magambaaaa. Mteja wa magazeti ya shigongooo... In short mdaku.
  14. M

    Kuna mgomo wa wauza mafuta?

    Kupita kurasini na kuona magari ya mafuta ndo utafiti...!!?? Hapa we ndo unabwabwaja mbona jinibreni!!
  15. M

    Zitto amkaribisha Kafulila CHADEMA

    Bora JK. Hovyo.........
  16. M

    Warombo,Wamachame,Wakibosho si wachagga

    Mi akili yangu kuoa knjaro au arusha tu... Sijui why!!
  17. M

    Kamanda Kova, Je Kundi la Al shabaab limekufa?

    Kova ni mpuuzi m1 tu ivi anayeshiriki kikamilifu kufanya siasa uchwala.
  18. M

    Zitto: Sheria ya utawala wa Bunge kifungu cha 19 imevunjwa na spika

    Lakini we Zitto si ndo ulimsifia bi kiroboto ktk bunge la bajet na kuwaponda waliokuwa wanamkosoa!?? Leo imekuwaje unaanza kusema hafai eti anavunja sheria?? Zitto siamini kama bado una dhamira njema katika siasa za ukombozi wa taifa letu.
  19. M

    DP In Belated Campaign For Igunga

    Siasa utakazofanya Igunga zitatusaidia kujua safari hii fungu la kampeni umepewa na nani. Kama ni Rostam au JK tutajua tu sababu tunajua wawili hawa wanashindana huko waziwazi.
  20. M

    Graduate programme banc abc

    Nimefungua ukurasa wa kazi katika website ya hii benki umwandikwa hivi "There are currently no positions available". Mleta mada tusaidie hapo.......
Back
Top Bottom