Yaani watanzania mnashangaza kweli,kupandishiwa gharama za umeme kidogo tu mnaanza kulialia,naiomba serikali sikivu ya ccm ipandishe walau ifike 80% ili Tanesco waweze kujiendesha.
Ushauri wa bure,kama chadema hakuna demokrasia huna sababu ya kulalamika nenda chama ambacho kinademokrasia kuna CCM,NCCR,CUF,N.K sioni sababu ya kung'ang'nia demokrasia chadema labda kama una agenda yako ya siri.
Napenda kuwa kumbusha viongozi wa CHADEMA kuwa mkoa wa Ruvuma na wilaya zake mmezisahau sana hasa wilaya ya Mbinga ambako kuna wapiga kura wengi sana na ndio mtaji mkubwa kwa CCM, ni vizuri hii wilaya ikaangaliwa kwa umakini.
Maana nimesika Mh.mbowe ameenda tena jimboni kwake wakati muda si...
Watanzania wenzangu ifike pahala tufanye kazi tuachane na majungu, Mr. kumburu amejitahidi sana kuibadilisha hii bodi ya kahawa kuwa ya kitaalamu zaidi kuliko ilivyokuwa zamani.Kuna tatizo ambalo ni kubwa katika nchi yetu utakuta mtu ni "Form four failure" au" darasa la saba" eti kwa kuwa...
Nilifikiri kwenye mkutano wa Dr.Slaa hakuwepo watu kabisa ,kumbe kuna watu walikuwepo hao waliokuwepo wanatosha kabisa kufikia malengo sio lazima watuwote wapate uelewa kwa wakati mmoja ,hawa waliohudhuria mkutano wa Chadema hao ndio watakao saidia kupeleka habari njema ya ukombozi kwa wengine...
Mbunge wetu wa Jimbo la Mbinga mashariki wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010,ulituahidi wakazi wa mbinga kuwa utajenga Chuo hapa Mbinga mjini hadi sasa hakuna ulichofanya na hakuna taarifa yoyote kwa wananchi kuwa umefikia wapi kuhusu hili.
Tekeleza ahadi zako 2015 sio mbali, usije...
Napenda kutumia nafasi hii kuomba M4C ipelekwe Jimbo la Mbinga Mashariki,
pia nina shauri M4C ipitie maeneo ya fuatayo;KIGONSERA,UTIRI,KITANDA,LUWAITA,KINDIMBA,LITEMBO,MAGUU,TINGI,NYONI,LIPARAMBA
halafu mkutano wa mwisho ufanyike Mbinga mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.