Waislam wa nchi hii nendeni shule acheni kulalama,hamuwezi kupewa nyadhifa mnazozitaka kama mtaendelea kuishia darasa la pili C,somesheni watoto wenu katika shule sahihi ambazo zina walimu waukweli ili baadae waje kuuokoa uislam kwa hoja za msingi wasije wakaja kuwa kama nyie
Katika mifuko ya jamii mibovu na yenye watu mizigo wasiojua kabisa customer care ni NSSF,nadhani ni kwasababu hawastrugle kutafuta pesa,huwa zinawafata zenyewe ndio maana wanajisahau sana,shirika la kipuuzi kabisa lile
Kama hizi ndio plan zenu mbona kila mwaka mnafanyaga usajili mkubwa sana lakini hamfanyagi chochote cha maana kimataifa?Simba siku zote ikishiriki michuano ya kimataifa inafikaga mbali na ikitolewa inatolewa na timu kubwa mfano Tp mazembe,Enyimba,Ismailia n.k lakini yanga inatolewaga na timu...
Waambie hao mamburura wa jangwani wajue mnyama ndio the only identity of tanzania football huko nchi zingine na duniani kwa ujumla,nimekubali comment yako kwenye hili bwana Tanzania1960
Sasa kinashindikana nini hapo?ile perfomance aliowaonyesha kwenye game ya mwisho dhidi yenu mkabahatika kadroo cha penalt ya kupewa hukuogopa siku ile?pass zinapigwa kama Barcelona vile,game iliyopita kabla ya hiyo ya droo ulikula tano sasa inashindikana nini sasa hivi kurudia tena?vikao...
ndugu yangu ninachokiona sana kwako na kinachokusababisha uwe na hoja hizo zisizo kua na msingi juu ya baba wa taifa ni kuwa msikilizaji sana wa radio imaan ya morogoro ambayo siku zote imekua ikiwa mislead wasikilizaji wake sana hasa kwa kueneza chuki juu ya mwalimu,amka kutoka gizani kijana...
Tatizo la timu ya Yanga ni watu wa magazetini sana,ninachokijua mimi na mtu yeyote alieangalia ile head to head kati ya Yanga na Simba ataona ukweli upo wazi kwamba Simba ni timu nzuri sana zaidi ya Yanga na mwaka huu itarudia yaleyale ya kumaliza msimu bila kufungwa na kuchukua ubingwa na Yanga...
ni matatizo ya kufuata mkumbo tu,juzi waliandamana kisa ooh kuna muvi imemkashifu mtume,ukiwauliza hao waandamanaji wenyewe kuwa ni wangapi wameiona hiyo muvi na mtume kakashifiwa vipi hawajui,sasa huu ni ulimbukeni unaosababishwa na kutokua na elimu,amkeni waislam wa tanzania acheni kugeza vitu...
wafanye kazi gani ndg Sweeper wakati kazi yao kubwa ni kuvamia makanisa na kuiba kama mafundisho yao yanavyosema,yani leo kwenye taarifa ya habari usiku kama unaangalia muvi vile stering polisi maadui waislamu na kama kawa stering hafi lakini maadui wanakufaga wote
Ni wakati muafaka sasa kwa waislamu wote Tanzania kuamka na kuinvest zaidi kwenye elimu kitu ambacho kitasaidia waislam wajao wasiwe na itikadi kama walizo nazo hawa wa sasa,inasikitisha sana kuona viongozi wa dini hii i.e mashehe kutokuwa na elimu kabisa yaani kasoma sana la saba,hiyo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.