Simu inaita saa mbili asubuhi
mwanawani, jamaa hajarudi home
toka jana, waifu on ze line.
Ringitoni, sumu ya teja ukonga keko
segerea, ah sumu ya teja sumu ya
teja. Jamaa anaamua kupokea.
Wife: Uko wapi we mwanaume,
muhuni mkubwa usiku mzima
humkumbuki mkeo kazi kuzurura,
mi nimechoka...
Siku moja ticha wa dini alikuwa
anafundisha darasa la 3. Akauliza
"wangapi wanataka kwenda
mbinguni?" darasa zima
wakanyoosha mikono kasoro dogo
mmoja tu. Mwalimu akamuuliza
"wewe hutaki kwenda mbinguni?"
Dogo akasema hataki. Mwalimu
akamuuliza "kwa nn?" Dogo akajibu
"mama kaniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.