Sasa hivi kuna idara nyingi na bado Majukumu hayakamiliki ifisini jee kulingana na kero kuongezeka za wananchi kupunguza wakuu wa idara kutaendana vipi na ongezeko la changamoto za maisha ya sasa? Serekali kukua ni lazima vitengo na idara kuongezeka
G.I.Masawe natafuta mwalimu idara ya sekondari kutoka Kilimanjaro wilaya za Hai, Siha, Rombo Moshi Vijijini, Moshi Mjini, yeye aje mkoa wa Arusha- Monduli. Kwa mawasiliano... Zaidi 0755883313. Tuma text au reply tuwasiliane.
Nipo Arusha Monduli Idara Sek. natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kutoka Kilimanjaro Rombo, Siha Hai namba zangu ni 0755883313 nitafute tuzungumze zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.