Mlizidi kuwasikiliza hao clouds wenu, sasa hivi wana wageuka mmoja mmoja!! Na bado, wakati sisi tunaungana kama VINEGA mlituita wahuni...!!!! Ant Virus ndo mpango mzima!
Kama unaenda kufundisha general studies, inamaana unaenda kufundisha A level. Shule zenye a level kule ambazo ni karibu na dsm ni bagamoyo secondary tu, otherwise wakupangie lugoba au miono
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
VACANCIES
The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts:
1. (a)
Job Title: Security Guard II (6 posts)
(b)
Qualifications and Experience...
Wapendwa naomba kuulizia mishahara wanayopewa watu wanaofundisha katika vyuo vya serikali vinavyootoa certificate na diploma, kiasi gani pamoja na motisha nyinginezo!?
Mkeo huyo ndio anachochea ili muende kwako, kwanza mkomeshe huyo mkeo aache tabia ya kuwashinikiza wazazi wake kuwaiteni mwende tukuyu...unadhani kama mkeo(mtoto wao wakwe zako) akisema hawezi kwenda kuna hili na hili, unadhani wakwe watang'ang'ania? Deal kwanza na mama watoto aache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.