Dh
Kuna kero na dhuluma nyingi miongoni mwa wananchi. Mh. Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan anachafuliwa na viongozi wasio waamini na wabathirifu. Angalia mfano huu https://www.youtube.com/watch?v=ZToGkFXN4yk&t=53s
Unadhani kwa kusifia kila kitu ndio unaisaidia Serikali? Hakika hata wao watakudharau. Ongelea ukweli ili wahusika waweze kuyarekebisha na si kusifiasifia kila kitu.
Huu ni utani kabisa. Umeme hakuna+ Bima ya Afya juu+ DP World+ ripoti ya CAG+Bei ya mafuta na bidhaa zingine juu. Halafu unasema kuna neema? Wewe upo Tanzania kweli?
Za chinichini zinasema maji ya Bwawa la Mtera yalifunguliwa kumwagika mwezi machi 2023 ili Bwawa lisibomoko, pamoja na ushauri wa wataalamu kuwa yasifunguliwe, inasemekana wakubwa walisisitiza yafunguliwe yamwagike. Je haya ni kweli? Kama ni kweli nini lengo la wahusika? Na kwanini wasishitakiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.