Mwanakijiji kutokuwa tayari kwa serilikali kujadiliwa bungeni. Mikatba mbalimbali inayoingia na makampuni mbalimbali,katika sekta ya ,madini,umeme, na kadhalika..ni dalili tosha ya kwamba we have a voted into power a"CORRUPT GOVERNMENT" na hizi ni symptoms za any corrupt govt, duniani..kuficha...
kauli ya mwisho ya chacha .zak. wangwe..POLITICS,WELL AS THEY SAY ITS A DIRTY GAME..maswali mengi yanayo hitaji majibu ya kina, na yaliyo ongoka.toka kwa uongozi wa juu wa chadema. fedha za ruzuku, ukabila, umangi meza, ufisidi, ubabe, ujeuri..so forth and so on..AHH..MZEE WA HELIKOPTA, NI WEWE...
kabla ya kwenda kwenye escudo...''.cost cutting'' not with standing. hizi njemba asilimia 90. zilazimishwe zifanye dieting ya nguvu.maana uwezekano wa kushindwa kuingia kwenye hizo scudo,s nao upewe nafasi yake. teh..te..te..teheee.t...!!!. vinginevyo watembee na wapambe wa kuwa chomoa wakinasa...
hilo kundi la hardcore,kada,s wa ccm bariadi pamoja na chenge.a.k.a'vijisenti"kamwe hawawezi kutuwakilisha wasukuma wa shinyanga na mwanza ktk kuutukuza "ufisadi"nyeusi ita bakia kuwa nyeusi. na kamwe haita kuwa nyeupe.huko ni kutapatapa kwa mfa maji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.