Tuna tegemea kuwa na Kiwanda kidogo cha kuzalisha chakula cha mifugo aina mbalimbali, tunahitaji mwenye ujuzi na awe na uzoefu huo kwa kazi husika.
Kwa yeyote mwenye ujuzi huo namkaribisha
Pm
au email; godfreycyp@yahoo.com
Anahitajika secretary kazi ya mwaka ila inaweza kuwa inaongezwa muda.
SIFA
-ajue computer vizuri
-awe mchapa kazi kuna wakati ofisi inafungwa saa 12.
-Awe mwepesi kujifunza
-Awe mwaminifu
-Aweze kufanya kazi kama team na wafanyakazi wengine .
-umri kuanzia 18–45yrs
Maombi yatumwe...
200 siyo nyingi mkuu
Ukiipata hata wewe utaona hivyohivyo kwenye kuizungusha ,
Na usichoke kutafuta maarifa na usizarau mawazo ya watu hata kama hana pesa , wewe mwenyewe utachekecha walicho kushauri.
Siyo kweli wengi tu wanapeleka. Ila kama ilivyo kwenye biashara yoyote kuna magumu yake mfano leo mahindi ya Tanga Dar tsh 500–550/ 1kgs yakiwa Dar, ukifanya ulinganifu na wewe umesema Ruvuma 540/1kgs utaona hapo tayari ushindani wa bei unaanza kukuengua.
Kikubwa fanya utafiti wa kina utapata...
Habaria moja ya mtu mmoja huko kilimanjaro ana watoto 12, hana nyumba na watoto hapeleki shule.
Anaomba kusaidiwa kulea watoto na kusoneshewa.
Kuna mahali serikali itamke ukomo wa kuzaa kulingana na uwezo vinginevyo baadhi wanatesa watoto.
Wenye watoto wengi wanaamini wenye watoto wachache...
Pia unaweza geuza wazo lako ukasema inatafuta mteja wa kumuuzia maziwa kwa jumla na ukaweka bei unaweza pata wateja wakutosha, kikubwa bei kuwa rafiki na ubora
Kukopa ni jambo jema kama unakopa kwa lengo la kuongeza faida kwenye biashara yako na kweli umeona huo uhitaji na hesabu inakupa majibu kuwa unahitaji kiwango fulani ili uweze kutengeneza faida zaidi.
Usikope tu kwakuwa unakopesheka na wakati biashara yako haihitaji ongezeko la mtaji, mwisho...
Uwe unanunua bidhaa kwenye maduka kama mawili au matatu, jitahidi force mzunguko wako .
Mwenye duka akiona unakwenda kila siku kununua pc 2 kila siku atapata imani ya kukukopesha na cha nyongeza ukiwa mwaminifu utakataa mwenyewe mizigo
Kama unamaliza chuo ndipo unaanza kufikiria kuhusu maisha utakuwa umechelewa, matokeo yake ndiyo hayo ya kukosa hata hela ya kupanga chumba.
Unasoma ili uelimike , ukiona upo kwenye hatuo hiyo jua huja elimika .
Hata ukipata kazi huwezi leta matokeo chanya kwenye kampuni.
Hapo inategemea malengo ya biashara kama kwaajili ya kupata hela ya kula leo sawa ila kama unataka kukuwa kuwa mkubwa ni bora kuwa mzalishaji.
Kikubwa kuchagua nini cha kuzalisha kitafutie upekee kita kupa matokeo Mazuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.