Nilikuwa narekebisha thread ya Deus Mallya,na si vinginevyo mkubwa! Maana kasema ni moja wa mawakala ndo kaumia wakati si wakala aliyeumia,hope nimesomeka
Maaskari wamechelewa kwenda site na hivyo CCM wakamwaga vijana waliokuwa na visu na makombeo huku wakinywa viroba,katika Hali ya kawaida tu hapo virugu lzm! Otherwise watu wanaendelea kupiga kura ila Nina wasiwasi Kama polisi hawataongeza ulinzi wakati wa zoezi kuicha tutachinjwa ovyo!
Wakuu huyo kijana kang'olewa meno na Yuko hospital ya mkoa! Hali bado si shwari kwa kweli huku! Na si wakala ni mwana CHADEMA tu! Mawakala wanaendelea na kazi zao vizuri.
Nimepigiwa simu saa 11 alfajiri, nikajaribu Kimpigia simu mkuu wa kituo cha polisi, lkn kwa maelezo yake alikuwa Hana taarifa kuhusu tukio Hilo.
Polisi hawajafanyia kazi taarifa tulizowapa mapema, kwani viongozi wa CCM wamedhamiria kuhakikisha wanatumia vijana wao kwenye kata hiyo ili wafanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.