Search results

  1. R

    Ninauza basi Heicher

    Hahaahaaa haya njoo uchukue..
  2. R

    Ninauza basi Heicher

    45m..maongezi yapo lkn
  3. R

    Ninauza basi Heicher

    kama unahitaji Ni PM..iko barabarani..sasa hivi inaenda posta - gongo la mboto
  4. R

    Yanayojiri katika uchaguzi wa madiwani, 28 Oktoba 2012 katika kata mbalimbali

    Nilikuwa narekebisha thread ya Deus Mallya,na si vinginevyo mkubwa! Maana kasema ni moja wa mawakala ndo kaumia wakati si wakala aliyeumia,hope nimesomeka
  5. R

    Yanayojiri katika uchaguzi wa madiwani, 28 Oktoba 2012 katika kata mbalimbali

    Maaskari wamechelewa kwenda site na hivyo CCM wakamwaga vijana waliokuwa na visu na makombeo huku wakinywa viroba,katika Hali ya kawaida tu hapo virugu lzm! Otherwise watu wanaendelea kupiga kura ila Nina wasiwasi Kama polisi hawataongeza ulinzi wakati wa zoezi kuicha tutachinjwa ovyo!
  6. R

    Yanayojiri katika uchaguzi wa madiwani, 28 Oktoba 2012 katika kata mbalimbali

    Wakuu huyo kijana kang'olewa meno na Yuko hospital ya mkoa! Hali bado si shwari kwa kweli huku! Na si wakala ni mwana CHADEMA tu! Mawakala wanaendelea na kazi zao vizuri.
  7. R

    Shinyanga: Kiongozi wa CHADEMA aumizwa vibaya, akimbizwa hospitali

    Mchezo unachezwa na GAKI na Gulam mtoto wa Meya
  8. R

    Shinyanga: Kiongozi wa CHADEMA aumizwa vibaya, akimbizwa hospitali

    Nimepigiwa simu saa 11 alfajiri, nikajaribu Kimpigia simu mkuu wa kituo cha polisi, lkn kwa maelezo yake alikuwa Hana taarifa kuhusu tukio Hilo. Polisi hawajafanyia kazi taarifa tulizowapa mapema, kwani viongozi wa CCM wamedhamiria kuhakikisha wanatumia vijana wao kwenye kata hiyo ili wafanye...
  9. R

    Dr. Slaa kutikisa Shinyanga kesho.

    Pamoja sana!! Tumuombee Afya njema tu
  10. R

    Dr. Slaa kutikisa Shinyanga kesho.

    Kamanda ni ushindi hapo,na Dr Slaa ndo anakwenda Kumalizia kumsukuma mlevi!!!!
  11. R

    Dr. Slaa kutikisa Shinyanga kesho.

    niko dar kamanda,narudi ijumaa,ila wapo makamanda wangu itakuwa live bila chenga
  12. R

    Dr. Slaa kutikisa Shinyanga kesho.

    Sasa hivi hakuna cha ndoho tabu kamanda!! Wamesimama si mchezo
  13. R

    Dr. Slaa kutikisa Shinyanga kesho.

    Hakuna ubishi hapo kamanda
  14. R

    Karibu JamiiForums Mhe. Rachel Mashishanga

    Obheja sana, Yupo tu!
  15. R

    Karibu JamiiForums Mhe. Rachel Mashishanga

    Yote yanawezekana kaka muhimu ni kujenga Chama kwa pamoja Eneo husika
  16. R

    Karibu JamiiForums Mhe. Rachel Mashishanga

    Jamani saint Ivuga ni buzwagi tu hizo!lol!!
  17. R

    Karibu JamiiForums Mhe. Rachel Mashishanga

    Asante nitaku PM kaka
  18. R

    Karibu JamiiForums Mhe. Rachel Mashishanga

    Naanza kuskip yako,ha ha haaaa haahaa,Asante kwa ushauri mkuu
Back
Top Bottom