Sikuwa eneo la tukio ila nilipofika polisi kimara kijana wangu akanieleza hayo maneno ambayo nimeyaeleza hapo.na Kuhusu kujua amefanya uharifu niliambiwa nilipofika kituo cha polisi, Asante sana kwa ushahuri pia.
Habari wanasheri wa jamvi hili.
Naomba ushauri wa kisheria juu ya tatizo langu,ni hivi,mimi nina gari yangu ndogo ambayo nilimpa kijana kwa ajiri ya kufanyia biashara maeneo ya kimara kwa lengo la kujipatia kipato niweze kuendesha maisha, siku moja kijana niliyempa gari alifatwa na jamaa mmoja...
Naomba msaada simu yangu aina ya sony xperia e3 kila napopiga simu display inakuwa dark (ina sleep) na nakuwa siwezi kukata simu au kufanya lolote hata kama hakuna kizuizi chochote karibu na sensor yake.
Pili nikimaliza kutumia simu haisleep (automatically) pamoja na kwamba nimeiseti sekunde 15...
umejitahidi kutuonyesha kaelimu kako ka tourism ulikokapata pale chuo cha utalii dar eagle clg na kuzawadiwa kachet kako ( na sijui kama kimesajili)
Ona kasoro za kutoelewa darasani
1. kama yupo 1 je alijizaa?
bila shaka hapana ,
2. kama hapana wazazi wake wapo wapi?
bila shaka wapo katika...
alishasema hata piga siasa za matusi na majitaka hizo kaziachasisiemu hapa mo hoja kwa hoja tu kwisha....kwa kuongeza hata kama angekuwa anafika kwenye mkutano na kusimama wima dk 2 na kisha kukaa bila kusema neno bado tungemjazia lundo la kura,yani sisiemu hatuwataki tu hamuelewi. mke ukimchoka...
maswala ya ubosi yapo kwenu ccm na ndo maana mnatuumiza ,mnapenda sana ubosi matokeo yake nchi imewashinda jamaa anaonyesha kumkubali ili nasi tumkubali,upaswi kuwa na Phd kujua hili ile ni mbinu ya ushawishi na kuonyesha kuwa ubosi ni ujinga unapotafuta mafanikio.
mambo ya uboss tunawaachia...
naungana nawe watu wengi tulikuwa na woga sana..tulifurahi alipokatwa kwa kuwa tulikuwa tukisika watu wanavyoongea mitaani na wala hatukudhani kama atakuja kwetu..Alipokuja nikajua kazi imeisha
we uelewi na huto elewa inaonekana hata mwalimu wako drsan alipata tabu pole ... ila sisi hatuangalii nani kafanya nini? ila nani anamalengo gani juu ya kuwaondoa nyie ccm.
binafsi hata aje shetani ilimradi lengo lake ni kuiondoa ccm madarakani nitamsapoti...hapa najenga heshima..na kumbukeni...
inakera sana kuona mtu anayelewa malengo ya upinzani naye analeta uponzani ni bora aende tena mapema tu ili tutakapoanza tuwe tumeanza safari yenye uhakika
Binafsi namheshimu sana dr Slaa,amefanya kazi kubwa kwa kweli tena iliyoleta mabadiliko makubwa na kukuza upinzani kwa kiwango kikubwa sana akishirikiana na wenzake.
Amefanya upinzani uwe na nguvu sana kwa kushirikiana na wenzake.
ILA NI LAZIMA AELEWE KUWA KINACHOTAKIWA KWA SASA NA WANANCHI...
nashawishika maana jamaa hajatokea hata leo pale Rais wa awamu ya 5 Lowasa anapochukua fomu.
ila tulimpenda japo binafsi naamini nguvu ya lowasa ni kubwa kuliko yake kwenye kugombea urais. yan mafanikio yapo karibu zaidi kwa lowasa kuliko kwa silaa na hata tafiti mbali mbali zilionyesha...
jamani naomba msaada mi natumka note 1 ..tatizo aina google play(market). hii inaninyima raha maana siwez download app nazotaka zinazopatikana huko.
msaada tafadhari.
jaman naomba msaada mimi natumia samsung note 1 ila aina google play na kunifanya mishindwe kudownload apps nazotaka na kila nikijaribu njia nyingine inaniletea inaleta massege "this browser is no longer supported.na kwa bahati mbaya kwenye simu haipo google play.nifanyaje naomba msaada
Habari wana jamvi,
Leo ninevutwa kuwa mmoja wa watu wanasema dawa ya moto ni moto.
Nasema hivi kwa sababu yanayoendelea sasa hivi katika nchi yetu si mambo ya kuyakalia kimya hata kidogo. Haiwezekani kwa nchi inayojinadi kwa jina la kitovu cha amani wananchi wake wakawa wanapigwa na kuuawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.