hii inaaibisha taifa ina maana hicho chama au ntubani kwao hakuna maeneo ya vikao macho yao yaliona hiyo guest watu hawa ukiwapa uongozi ujue hawataona matatizo yenu watakachoona ni mambo yao wanainchi tafakari chukua tahadhari hawa watu waonywe mara moja du........inachosha akili inashangaza...
oooh nchi kiongozi wake anapokuwa mtumwa ni hatari maana mtumwa amezoea kukandamizwa akipewa nafasi atakula hata mtaji msitegemee kuwa atawataja wahusika wa kagoda hiyo ni sawa kumwambia mtoto ataje kama baba yake ni mwizi
asante kwa issue hii nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.