Search results

  1. mambali

    Kuna madhara yoyote ya kunyoa nywele za kifuani(GARDEN LOVE)?

    HABARI WAKUU MBALIMBALI; Kuna mdau kanielezea yeye hapendi nywele za kifuani so toka zimeanza kuota amekuwa na tabia ya kuzinyoa kila ikifikia level flani ni kwa muda sasa amekuwa akifanya hivyoo, anauliza je kuna madhara yoyote yanayoweza kutokea hapo mbeleni???
  2. mambali

    Naweza trace Smart TV iliyoibwa kama tunavotafuta simu?

    Habari wakuu, nimeibiwa smart TV je ku a nmna naweza itrace kama tufanyavo kayika simu na je na vitu gan vinahitajikaa kama huo utaratibu upoo?
  3. mambali

    Msaada jinsi ya kuset/kuweka password katika briefcase

    Zipo kariakoo maduka ya mabegii uliziaa
  4. mambali

    Msaada jinsi ya kuset/kuweka password katika briefcase

    Habari wakuu mbalimbali nimenunua briefcase kwa ajili ya kuweka vitu vyangu vya siri lakini nimeshindwa kuset password ili niweze kufungua kwa namba mmi peke angu naomba mwenye ufahamu na hilii aweeze kutupatia msaada naimani wengi wetu hatufahamu so itasaidia sana .natanguliza shukrani
  5. mambali

    Namtafuta baba yangu anaitwa Gerson Jacob Kasanga

    mtafute dada mmoja anaitwa mariam kasanga yupo wilaya ya nzega mkoa wa tabora ni maarufu sana pale anaweza kuwa ndugu yako!!!
  6. mambali

    Vifaa vya magari vinapatikana mtandao gani hapa nchini?

    nahitaji bampa ya nyuma ya carina ntaipata kwa bei gani
  7. mambali

    Kesho ni kazi kama kawaida

    hapana sisi kazini kwenu ni tofauti naambiwa ni agizo toka kwa katibu mkuu wa wizara
  8. mambali

    Kesho ni kazi kama kawaida

    habari kesho tumetangaziwa hatuna mapumziko ni kazi kama kawaida pia tuvae sare zetu
  9. mambali

    Ni taratibu gani zinatakiwa baada ya kumpata mwenza hadi kufunga ndoa?

    Habari wana jamvi, Naomba nipate utaratibu ni hatua gani zinatakiwa zifuatwe baada ya kumpata mwenza hadi kufikia hatua ya kufunga ndoa namaanisha baada ya wazazi kuwatambua ni hatua gani zinafuatia kwa mtiririko! Nitashukuru sana kwa msaada wenu upande wa ni wakristo thehebu katoliki upande...
  10. mambali

    Kagera - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Msimamizi atokomea na vifaa vya uchaguzi huko kashai bukoba hadi sasa saa tatu hajatokea na simu yake haipatikani
  11. mambali

    Kati ya hawa yupi sahihi wa kunioa?

    tatizo ni hiyo ID yako tototundu endelea na utundu wako
  12. mambali

    Plot / unfinished house for sale in gangilonga iringa

    mama badala ya kujibu hoja unaanza kuleta matusi na mapovu mengi mdomoni
  13. mambali

    Hivi bei halisi ya soda za jamii ya coca cola ni shilingi ngapi?

    Tabora soda 500 mpanda katavi soda 800!!!
  14. mambali

    Anayepajua Mpanda mjini vizuri anielekeze

    hapana mkuu sipafahamu hapo ila wewe sio wa kwanza kuniuliza humu jamvini ila napasikia hapo sehemu
  15. mambali

    Anayepajua Mpanda mjini vizuri anielekeze

    asante ngonani jua likizama nitacheki na boda wanipeleke maeneo hayo ingawa huku giza liaanza saa mbili kasoro
  16. mambali

    Anayepajua Mpanda mjini vizuri anielekeze

    hyo mbona ni pub yangu ipo dar sinza usilete utani small pdidy
  17. mambali

    Anayepajua Mpanda mjini vizuri anielekeze

    Jamanii nipo Mpanda mjini yaani Mkoani Katavi. Lakini sioni sehemu nzuri palipochangamka ambako kuna nyama choma na wasichana wazuri wa kuhudumia naomba nwenyeji anielekeze anayepajua.
Back
Top Bottom