Leo asubuhi katika kipindi cha matukio kinachoendeshwa na Radio one stereo alisikika MH.. Tundu Lissu mwanasheria wa cha cha CHADEMA akisema kuwa Mhe. John Mnyika hajaonekana katika hadhara ya mapokezi ya E.LOWASA kwa sababu alikuwa mgonjwa. Akadai kuwa amemwambia ajitokeze hadhazani ili...
Nafikiri sio muda wa kutoa matusi kwa mtoa mada ni kujuuliza je ana mantiki hapo? Nionavyo mimi ni kuwa wakati wa watajwa hapo kuonesha ni kweli wanaweza kula uharo/uhalo wao wenyewe huku wanaona kwa akili timamu?
Kumkaribisha Mh. E.L sio kosa kosa ni kusahau tunayotamka bila kuwa na ukweli? je...
Nafikiri sio muda wa kutoa matusi kwa mtoa mada ni kujuuliza je ana mantiki hapo? Nionavyo mimi ni kuwa wakati wa watajwa hapo kuonesha ni kweli wanaweza kula uharo/uhalo wao wenyewe huku wanaona kwa akili timamu? Kumkaribisha Mh. E.L sio kosa kosa ni kusahau tunayotamka bila kuwa na ukweli? je...
Utaratibu wake ni kwamba unatakiwa uende mahakamani ukaape kuwa wewe ni mzazi wa huyo mtoto na ungependa abadili jina aitwe nani kisha unaenda na fomu za kiapo katika ofisi za ukaguzi wa shule kanda kuomba kubadili jina ukiambatanisha barua na kiapo cha mahakamani. ukifika ofisi za ukaguzi wa...
Nani kakwambia Mtwara watu wamepigika, njoo uone watu walivyo na maendeleo mazuri individual,
huwezi kulinganisha na Singida hata kidogo. Kuna kila aina ya fursa Mtwara.
Pole kijana mshawishi ili kama ikiwezekana mfunge ndoa ili kuhalalisha hili jambo endapo kweli una nia nzuri kwake kama yeye atakavyo, Jambo la kumwacha au kuchepuka ni hatari zaidi kwako na kwa afya yako. Endapo unafikiri hauna fedha, fedha haziji siku moja. Funga ndoa maisha yasonge kuliko...
Kwa sasa mikoa ambayo inafaa kuishi ni mtwara na lindi tu. Kuna umeme wa uhakika ambao haukatiki wala hakuna mgao wa umeme, ardhi yake bado ina rutuba ya kutosha yaani katika mikoa hii hawatumii mbolea mpaka sasa kwa mazao yote ukilinganisha na mikoa ya big four yaani mbeya, iringa , ruvuma etc...
Eeee Mungu wanusuru waja wako na Mapepo wabaya kama baba HUYU anayejiita Mchunga kondoo wako ilihali anafanya Maovu kwa watoto wadogo wasio na hatia.:amen:
vipi MACHADEMA mbona mpo kimya, maneno kama Umetumwa na CCM, B7 NK, bado machache sana katika uzi huu!!! siyo kawaida yenu machadema au ndo mwisho wenu umeshafika? NASUBIRI MATUSI YENU SASA.........:amen:
SERIKALI ICHUKUE ENEO HILO NA KULIFANYA KANDA MAALUMU YA MVOMERO KWA KUIPA VIKOSI KAMA VYA TARIME/RORYA ILI KUIMARISHA USALAMA WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KWANI HATA MH. MATHAYO D. AMEONEKANA KUWASHINDWA WAFUGAJI HAO. AMANI ITAWALE DAIMA MVOMERO.:doh::cheer2::laser:
MACHADEMA VIPI KWANI CHAMA CHENU KINA NINI MPAKA MUONE MGOGORO WENU UNA MACCM NDANI? TATUA HUO MGOGORO KWA BUSARA BILA KUUMIZA WENGINE. :A S-confused1:
MACCM jina analopenda kulitumia Mh. mmoja wa jimbo moja huko Singida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.