Imeshaisha hiyo, mwanamke akiwasiliana na ex wake na wewe ukajua na akaendelea maana yake huna Chako hapo, jamaa analinda mfuko wa sukari ulitumbukia baharini
Fuatilia pia mapendekezo ya PM wa uingereza Sasa hivi kuhusu wahamiaji, halafu fuatilia wale wahamiaji wanaoenda ulaya kupitia bahari ya atlantik Nini kinawapata. Huko nchi za wenzetu karibu zote ukiwa mhamiaji haramu treatment Yako haiwi nzuri kabisa, tafuta taarifa ujiridhishe kwanza.
Sent...
Ni upeo tu wa Kila mtu on individual basis, ukitafuta taarifa zinapatikana na ukiwa honest to yourself na Mungu wako, huwezi kuhangaika kupotosha ukweli. Hata sisi waafrika tulishiriki katika kuwauza ndugu zetu vizuri tu ila historia inapiga kimya. wenye makosa makubwa , Wahalifu, mateka wa vita...
Historia ya utumwa watu wamejaribu kuificha sana hasa huku upande wa east Africa wengi hawajui vizuri historia ya utumwa duniani. Ukienda Ghana utapata historia nzuri sana ya utumwa na Kuna jamaa amefanya PhD ya historia ya blacks in America and Latin America amedocument vizuri sana haya mambo...
Tusiwe na mahaba na dini zetu both waarabu na wazungu walishiriki vyema kabisa katika biashara ya utumwa.
https://www.researchgate.net/publication/333206199_Church_Involvement_in_the_Trans-Atlantic_Slave_Trade_Its_Biblical_Antecedent_vis-a-vis_the_Society's_Attitude_to_Wealth
Sent from my...
https://www.researchgate.net/publication/333206199_Church_Involvement_in_the_Trans-Atlantic_Slave_Trade_Its_Biblical_Antecedent_vis-a-vis_the_Society's_Attitude_to_Wealth
Sent from my Infinix X6820 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa nasubiria hii comment, kwa Nini huyo muhudumu anakujua jina, mbona huduma inachelewa, huwa ukija mwenyewe huwa ndio inakuwa hivi,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X6820 using JamiiForums mobile app
Sometimes wivu ni emotional baggage from someone's past. either makuzi yake, experience kutoka watu wake wa karibu, lifestyle yake aliyopitia na mengineyo.
Wanawake waliokuwa na tabia za kuchukua wanaume wa watu au waume za watu wengi wana tatizo Hilo, it is very difficult kwa wao kuwa na...
Suala kubwa la kujiuliza kwa Nini mwanaume anaoa, je mwanamke kujua kupika ni kwa ajili ya mume peke yake au familia yote? Je Nini faida za mama mwenye nyumba kujua kupika?
Kuna majukumu ya mama ndani ya nyumba, na majukumu ya baba ndani ya nyumba, Moja ya jukumu kubwa la mama ndani ya nyumba...
Hao unaowazungumzia sio wanaume kamili, wanaume kamili hawaishi hivyo, na wanapeana support kwenye mambo ya msingi kwa dhati kabisa, hao SIMPS unatakiwa kukaa nao mbali na hata hutakiwi kuwadiscuss kabisa, it is a wastage of your time, tumia muda wako kuangalia jinsi gani utaimprove your life...
Hii ni kwa jamii nyingi za kiafrika na some asians, huko ulaya Kuna maisha mengine. mdada, Kuna kitu kinaitwa " woke culture" , ndio tunajaribu kuiiga kutoka western civilization, na imeshaanza ku back- fire. Fuatilia world trends in social lifestyles utaona, kuanzia failure in parenting styles...
Wanaume wanaongea tu,kukumbusha tu,, tatizo ni approach inayotumika. suala liko hivi.
heshima ya mwanaume ipo katika means anazotumia kuingizia kipato kwa ajili ya maisha yake ya kujitegemea na hatua inayofuata heshima yake inatokana na jinsi anavyohudumia familia yake na hatua ya juu jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.