Bata mzinga wadogo wanapatikana kwa Sh.25,000-40,000 na wakubwa wanapatikana kwa Sh.90,000. Kwa atakayehitaji anitafute kwa namba hii: 0753249862. Karibuni sana
Vifaranga wa bata wa kawaida wanapatikana kwa Sh. 5,000-10,000 na vifaranga wa bata mzinga wanapatikana kwa Sh.25,000-40,000. Atakayehitaji anitafute kwa namba 0753249862. Karibuni Sana.
Vifaranga wa kuku wa kienyeji wanapatikana, wana umri wa wik 3, bei ni Sh.4,000. Atakayehitaji anitafute kwa namba hii: 0753249862. Napatikana Dar. Karibuni sana
Bata mzinga na vifaranga wa bata wa kawaida wanapatikana,
Kwa bata mzinga wakubwa ni Sh.70,000-150,000 na bata mzinga wadogo ni Sh.30,000
Kwa bata wa kawaida vifaranga ni Sh.10,000.
Kwa atakaehitaji anitafute kwa namba hii 0753249862.Napatikana Dar. Karibuni sana
Bata mzinga dume wanapatikana kwa Sh. 70,000 kwa ukubwa wa kati na Sh.150,000 kwa mkubwa kabisa. Kwa atakayehitaji anitafute kupitia namba hii: 0753249862. Mimi napatikana Dar. Karibuni sana
Kuku wa kienyeji wanapatikana kwa bei ya Shilingi 18,000-20,000. Wapo pia kwale wanaotaga, bei ni Sh.10,000. Kwa atakaehitaji anitafute kwa namba hii: 0753249862. Napatikana Dar. KARIBUNI SANA
Nataka kufuga hawa ndege kama pet na pia kibiashara. Kwa wale wandugu wenye uzoefu wa ufugaji wa hawa ndege wakuje hapa watoe nondoz zao. Hapa kuna fursa nzuri sana hususani biashara ya mayai. Msiniulize yananunuliwa na nani ila wateja wapo. Kikubwa ni kutangaza biashara
Vifaranga wa bata wa kaida (Mascovy ducklings) wanapatikana kwa sh.4,000. Wanaumri wa wiki 2. Pia mayai ya bata wa kwaida yanapatikana kwa sh.800/=. Kwa watakaohitaji wanitafute kwa namba hii: 0753249862
KARIBUNI SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.