Search results

  1. bahati30

    Kwa wadada: Huwa mnafanyaje mpenzi wako akiwa na hii tabia?

    Watu wake wa pembeni wafanye nini? ya kwao yamewashinda watayaweza ya hawa viumbe? cha msingi wapambane na hali zao. Na huyu mwanamke nae ni kihiyo kabisa kwa sababu huwezi kumwacha mwenzio kwa sababu kama hiyo. huyo ana lake jambo.
  2. bahati30

    Baba mtarajiwa, nini natakiwa kufanya?

    Epuka mpango ya kando (MYK)
  3. bahati30

    Ex wangu ananinyanyasa kisa kapata kazi

    We jamaa hapo umenyanyasika kivipi?
  4. bahati30

    Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

    Pamoja na ushauri uliopatiwa na wadau usisahau kumwambia aondoe hofu ya kimbunga kwasabu kwa sasa hali ni shwari (kimeyeyuka). Kazi iendelee
  5. bahati30

    Vijana umri unaenda sasa muanze kuwa serious. Shauri yenu, mtakuja kutulaumu bure

    Unaishi dunia gani rafiki? Una familia? Je ulishawahi kupitia hiyo hali ya mtoa uzi? USIKURUPUKE. Q.E.D
  6. bahati30

    Vijana umri unaenda sasa muanze kuwa serious. Shauri yenu, mtakuja kutulaumu bure

    We mujamaa Bado msela Nini!!.... Kila familia ina utaratibu wake wa kula.
  7. bahati30

    Nataka kumuoa huyu single mother

    Sio kuliwazwa tu ila jamaa anasubiriwa kwenye angle ambayo akishakamilisha zoezi zima la kuoa ndio ataelewa maana "oo..namfanyia visa hafanyi chochote"
  8. bahati30

    Nimepigwa chini na michepuko miwili kwa mpigo

    Hahaha.....hayo nayo ni mafanikio. Tunapunguza gharama za uendeshaji.
  9. bahati30

    Hivi Pisi nyembamba Zina nini lakini maana mimi Sielewi..

    Eti kuku kakwepa mwewe!!!!!.....
  10. bahati30

    Huyu kuku anaumwa ugonjwa gani?

    Tafuta tylosin powder(kuku)
  11. bahati30

    Nimerudi nimekuta Jirani yangu (Mke wa mtu) kanifulia nguo

    Hahaha.......za chui chui tena!!!!!!...
  12. bahati30

    Sio kila kikuvutiacho machoni kinafaa NIMEKOMA

    Hapo huyo ilibidi atafute mbinu ya kuchomoka kwenye mtego wa FISI
  13. bahati30

    Siku ya tano leo wife kaninunia kisa nilimchana ukweli kuwa hajapendeza

    Kitanda mnacholalala kina ukuta katikati?
  14. bahati30

    Wataalamu wa hesabu nipeni jibu

    Let the weight of cat be 'a', rat be 'b' and dog be 'c' then a + b=10------------(i) b + c=20-------------(ii) a + c=24--------------(iii) by adding eqn (i), (ii) and (iii) a+b+b+c+a+c=10+20+24 2(a+b+c)=54 divide by 2 both sides a+b+c=27 so the total weight of dog, cat and rat is 27kg...
  15. bahati30

    Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Vitu anavyomiliki ni changamoto, godoro lina ramani ya dunia na ramani nyingine ambazo hazitambuliki
Back
Top Bottom