Mwacheni Mungu aitwe Mungu,watanzania wenzangu,video hii sio ya kuchakachuliwa hata kidogo,ukitaka kuisikia vizuri tumieni Head Phone mtasikia kila kitu.Lwakatare hapa lazima utuambie ukweli,mikakati yote hii ni ya nini?Hapa huchomoki na kumbuka kwamba kikulacho ki nguoni mwako.Hapo kuna mtu...
Waziri huyu ambae amekua na tabia ya kujipatia misifa,hivi karibuni amezuia watumishi waliopo chini ya wizara hiyo wasipande daraja la kwanza wanapo safiri na ndege kwa tafsiri kwamba watanzania wengi bado ni maskini.
Mwakyembe angekua mkweli wa kutaka kusaidia watanzania asingekwenda kuzindua...
Watanzania wenzangu,ushabiki tuuweke pembeni,bandari ya Dsm ipo kwenye mtikisiko wa hali ya juu.Kwa Mwakyembe kuna kitu nyuma ya pazia,fuatilia ujue anaeingoza bandari ni nani na mgomba wake ni upi.Arison atapiga kelele lakini kwa bandari atakwama tu.
Njowepo acheni masiala na hili dude Bandari,Mwakyembe aturudishie majembe yetu,kinyume na hapo bandari inatafutiwa mbinu ichukuliwe na watu wachache.Taarifa tunazo kwamba huyo Kipande ni shemeji yake KJ,anatokea pale karibu na Mbwewe ukipita Wami.Tukikubaliana na maamuzi haya ya Mwakyembo basi...
Naingiwa na wasiwasi kwa rafiki yangu Maberere kama kweli anaijua sheria au la,dhamana sio kitu cha lazima kutolewa,mahakama imepewa mamlaka ya kutoa dhamana pale itakapokapo kua imejiridhisha katika suala zima la usalama wa muhusika mwenyewe na upatikanaji wa mtuhumiwa atakapokua amehitajika na...
Itakua ni dhambi kubwa kama mtu angeulizwa kuorodhesha majina ya mawaziri wanafiki haalafu jina la huyu Mheshimiwa lisiwepo.Huyu jamaa ni mnafiki kuliko maelezo na ameusaliti ukristo mchana kweupe,kisa anapalilia huo uwaziri.Uzalendo wake kwa nchi ni big zero.
Nimefuatilia kwa karibu sana uchaguzi huu tangua hatua za awali na hotuba ya msaidizi wa KJ kama mfunguzi wa mkutano huu.Alichokisema Dr.B ni tofauti na kilicho tendeka hapo Dodoma jana.Nilicho baini kwa chama chetu kikubwa hapa nchini kwamba NO MONEY NO UONGOZI.Ndio kilichotokea jana.
Nchimbi ni mnafiki tena unafiki wa kutupwa,majibu yake ya kitoto yatamtokea puani.akumbuke kwamba majibu anayo yatoa ni kwa watanzania wasomi wanaojua kutafsiri na sio watanzania wa miaka hiyo.nchimbi nimwambie tu kwamba tumekuchoka na mambo yakoo ya kitoto.lakini kwa upande mwingine simshangai...
Huyu babu anakotupeleka siko kabisa,watanzania tumuogope mtu huyu kama ukoma,na sasa kwa nini tusiamini tanzania sasa ni nchi ya kiislamu?Hivi ni kweli mtu na akili zake anaweza akaruhusu mikutano ktk kipindi hiki ambacho hali bado ni tete?Tunachokitarajia ni nini kama sio kuhalalisha vurugu...
Rais na Pindo wake wanakula tu bata ughaibuni wananchi wao wanahangaika kama watu wasiokua na makwao.Mwenye nchi hebu linda heshima kwa kung'atuka kabla ya kupigiwa kura.Nyepesi tunaomba lianzishe hili huko mjengoni
Mwenye nyumba yuko na Kabus kule Oman,anakula bata,unategemea nini.Ushauri wangu:simpigii kura muislamu yoyote hapa duniani pili:Nashauri Mkapa agombee miaka 15 badala ya kumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.