Search results

  1. N

    Dr Slaa: Kikwete acha kushambulia CHADEMA

    Si walisema aiwezekani?
  2. N

    What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

    Namkubali mdee anapiga kazi, na kama makosa ni ya kawaida ambayo anayo kila binaadam, na ninachokiona kuna kajiwivu kdogo kinajitokeza na ule mfumo dume unajitokeza, na kama kweli haya unayosema c uwende kwenye ofisi ya jimbo ukatoe malalamiko yako? Hvi mbona sioni humu malalamiko ya majimbo ya...
  3. N

    CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

    Jamani pamoja na yote sugu anafanya kazi, na anaonyesha jinsi anavyojiamini kwenye anachokisimamia, kuna kitu nimekigundua inapofika zamu ya sugu kuongea hata wabunge wenziwe wa pande zote wanakuwa na shauku ya kumsikiliza.
  4. N

    Katibu wa Mufti Zanzibar (Sheikh Soraga) amwagiwa tindikali

    Sio Zanzibar tu, kwani hata uku bara unapaonaje, hali ndio hiyo hiyo, kwa ufupi tanzania yote inaelekea kichakani, na mbaya zaidi matukio yote tunayabeba kama mazoea na kujifariji kwamba upepo utapita tu.
  5. N

    Mhe. Zitto kushindwa kutaja majina ya waficha fedha Uswiss kama alivyoahidi ni woga?

    Kamanda piga kazi na wala husiwaone wa ajabu wanaonyesha dalili ya kutokuamini kwamba umtalikamilisha, wamekatishwa na tamaa na mengi yaliyopita, ukweli ni kwamba tumevurugwa, na nafikiri unafahamu mtu akivurugwa anakuwaje, pigeni kazi ili angalau tuanze kujenga imani mpya, tupo pamoja.
  6. N

    Lipumba, mdhamini mtoto aliyekojolea kurani

    Hivi ni sahihi kuendelea kukukashifiana? mfano ndugu "Andate" unanirudisha kule ninapokukataa! kashifa hazitotufikisha mbali, na tusitegemee serikali ituondole kadhia hii, maana imeshindwa mda tu, na kama sijaeleweka vzuri, ninasisitizia malumbano na chuki sio dini zenu zilivyowaelekeza, mi...
  7. N

    Lipumba, mdhamini mtoto aliyekojolea kurani

    Ndugu yangu Andate wananchi wa tanzania ni sawa na watoto yatima, husitegemee kwa namna yoyote ile mamlaka iliyoko itashugulikia swala ili , wameshashindwa mengi tu, tena mengine ni madogo kuliko ili, sasa ndio maana nikasisitiza sisi wenyewe tushikamane tuliondoe tatizo ili, halafu kuhusu...
  8. N

    Lipumba, mdhamini mtoto aliyekojolea kurani

    Habari wana jf kwanza poleni sana kwa shuguri za ujenzi wa taifa linalo chechemea, ni mda mrefu sana nimechunguza ktk baraza ili kumekuwa na hali inayonisikitisha na inayonivunja nguvu, ktk mijadala unayohusu dini mara nyingi nimeona wadau badala ya kujadili ni namna gani tunaweza kuindoa hii...
  9. N

    Zitto: Serikali isipowataja walioficha mabilioni nje, CHADEMA itawataja hadharani!

    Maelezo yako yanatia moyo kidogo, ila usiogope kukosolewa na pia ujitaidi kuzingatia ushauri wa wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wenzio chamani, kuna jambo naliona ili linanitia shaka kidogo, unaonyesha kama unafanya kazi kivyako vile, hii aipendezi umoja ni nguvu, ningependa nikupe ushauri...
  10. N

    Lowassa na Mulugo, si lazima muongee kiingereza!

    Mzee wa Zimbambwe dah! Jina lishamkaa hilo.
  11. N

    Hivi kwanini watanzania ni wakarimu sana kwa wageni wa mataifa mengine.

    Katika hali inayonishangaza watanzania ni watu wakalimu sana kwa watu wa mataifa mengine, mgeni anapokuja tanzania uwa anapewa heshima kubwa sana, tena wakati mwingine hata isiyostaili, tofauti na tunavyochukuliana wenyewe kwa wenyewe, hili limejichomoza ktk nyanja mbalimbali, sasa ndugu zangu...
  12. N

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    Ni kweli kuna dalili za kuzidi maana wanandama kwa mtindo wa kusambaa, sasa polisi inawawia vigumu kuwazibiti.
  13. N

    Ukimya wa upinzani katika Matukio yanayotokea nchini, kulikoni?

    Ndugu kadigidi hapo umeyumba ndugu yangu, hakuna sababu ya kukebei imani za wenzio, hapo na wewe unaunguna na wale wanaokashifu imani za wenzao, ambapo ndo tunapiga vita mtindo huwo, punguza jazba bado hatujapotea sana tunaweza kurudi tulikotoka, ila kwa nguvu zetu wenyewe na si kwa kutegemea gv...
  14. N

    Wafuasi wa Sheikh Ponda kesho kuandamanda mpaka gerezani Segerea

    Kumbuka kwamba tangia akamatwe masaa24 yashapita kwa hiyo hawezi kuendelea kukaa mikononi mwa polisi, leo anafkishwa mahakamani na kumbuka siku hizi utaratibu umebadika, kesi zote zinasimamiwa na askari magereza, kwa hyo swala la kuwa segerea alinashaka, na segerea ni gereza la mahabusu na...
  15. N

    Wafuasi wa Sheikh Ponda kesho kuandamanda mpaka gerezani Segerea

    Gereza segerea lina sehemu mbili, gereza la mahabusu na wale waliofungwa, sasa usishangae sheikh ponda kuwa segerea, maana masaa24 tangia akamatwe yashapita, hawezi kuwekwa kituo cha polisi, na siku hizi wanaowapeleka watuhumiwa mahakani ni askari magereza, mf mzuri Lulu
  16. N

    Wafuasi wa Sheikh Ponda kesho kuandamanda mpaka gerezani Segerea

    CHEDEMA inaingiaje hapo, au ni mpango uliotengenezwa ili chadema watoe kauli ili mpate chance ya kuwachonganisha na waislam, wacheni kucheza na roho za watu.
  17. N

    Wafuasi wa Sheikh Ponda kesho kuandamanda mpaka gerezani Segerea

    Ni kweli hawa wametuma na sijui wanafuata kitabu gani, maana qran tukufu imesema tueshimu mamlaka zetu.
Back
Top Bottom