Kuna umuhimu mkubwa wa kuwaogezea wafanyakazi wa idara ya PCCB wilaya ya Kigamboni maana kiukweli Rushwa kwa polisi wa usalama Barabarani imekuwa Wazi kwa kuthibitisha ilo huwa wanakaa pale kituo cha kwa Mwingira.
H alafu kila daladala linalopita unaona konda anashuka anapeleka fedha akirudi...
Habari
Nilipata ajali na gari ndogo aina ya Brevis sema injini haijaguswa ingawa show ya mbele imeharibia na airbag zote zimefumuka kioo kimearibika kabisa. je kuna uwezakano wa kurudisha gar katika hali yake na ni gereji gani nzur kwa dar wasio na longolongo.
Naweza kupata kipande cha mbele cha toyota mark2 gx110 yan kuanzia kwwnye kioo cha mbele mpaka show yote ya mbele coz ilipata ajali haifai kurekebishwa maana airbag zote zimetoka.
Kuna rushwa kubwa imekithiri pale Kivukoni wakati wa kuvuka. Kwa upande wa Kigamboni kuna Geti la Jeshi, hapo ukitaka kupita unatoa elfu Tatu kwa MP wa Jeshi unapita bila kupanga Foleni na ukiwa ukirudi upande wa Ferry unatoa elfu tatu pia unapita kwenye Geti la kutokea.
Ila kama una fedha za...
kwaiyo CRDB ni ya UDSM na ukimuona mtu IfM au TIA yupo pale jua ameshikwa mkono....wizara ya Kazi na Ajira inafanya kazi gani kama Udsm wanakitengo cha kuwatafutia wanafunzi wao kazi?
Tarehe 22/08/2011 kwenye gazeti la Daily news Kuna nafas zimetangazwa SHIKITA. lakini cha ajabu ukienda kwenye website yao wanakwambia ulipe elfu 20.
Applicants are supposed to pay a non a non-refundable application fee of 20,000/= tsh.which will be used to cover meals and other services to the...
Mambo vip
Natafuta free software ya kulicovery microsoft outlook express inbox.Nimetafuta but nakuta ni ya kununua na kuna moja nimeikuta nikaambia ni free then baada ya kuinstall nikaambiwa ninunue
plz kwenye kujua anitumie link
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.