Kazi kweli kweli !!... JWTZ lazima warudi kulipa kisasi..... Nafikiri suala hili linapaswa kuangaliwa na pande zote zinazohusika kabla ya madhara hayajatokea.
Mkuu umesema kweli ...... hawa jamaa watawaumiza sana dada zetu kwa sababu wamefanya hivyo karibu kila nchi walipotia team. Mashori mpo hapo ?? accent za Naija si mnazinyaka kwenye filamu zao? Ogaaaa
Nafikiri waende zao tu kama hawawezi ku-comply na hata hicho kidogo kilichomo kwenye contracts. Dhahabu yetu haiozi tutachimba wenyewe tutakapo kuwa tayari au tutakapopata terms nzuri na mwekezaji mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.