Salamu wandugu,
Kwanza ni wapongeze Askari wa barabarani kwa kazi kubwa wanayofanya usiku na mchana.
Hoja yangu ni juu ya operation mnazofanya barabarani zimekuwa na usumbufu na kero kubwa yaani, ukamataji magari hata kama huna kosa wanatafuta makosa kwa lazima
Napenda kuwashauri askari wa...
habari wana jf naomba ushauri mwanangu wa kiume umri mwaka mmoja anatapika akila uji au chakula kingine akinyonya hatapiki tatizo nini wenye uzoefu tafadhali hospital nilimpeleka wamenopa dawa ya malaria ya mseto ila hawajampima cha ajabu anachangamka vizuri ila kula anatapika
Habari wanajamii forums.
Nyumba ya kawaida ipo Vikindu kwenye barabara inauzwa million 20 ukubwa wa kiwanja chake ni 20 kwa 20 ina mpangaji mmoja.Alafu kuna heka mbili zipo Vikindu Magenge 20 zinauzwa.
kwa maelezo zaidi piga 0786056569 dalali hatakiwi.ni mnunuzi tu.
habari wana jf
Gari yangu iko chini sana inagonga kwa chini kwenye matuta nk sasa nimepewa ushauri wa kuinyanyua .Je endapo ntainyanyua kuna madhara yeyote yanaweza tokea kwenye gari yangu
naombeni ushauri na uzoefu wenu.asanteni
Habari wanaJF,
Leo jumamosi nimeshinda home kwangu wife na binti wangu wa kazi wakatoka kidogo nikajisikia leo nipekue chumbani kwa dada wa kazi cheki mabegi nk .
Mpaka chini ya kitanda hii inaitwa intelijensia ya nyumbani du nikakuta dada ameficha soksi zangu nzuri chini ya kitanda chake tena...
Habari wana JF
mwaka 2013 unaisha je umewahi kutathimini ni mambo mangapi umefanikiwa? mangapi umeshindwa? kwa nini?naomba niwashirikishe uzoefu wangu ktk maisha.
Jua hv hakuna jambo lolote linalotokea bila KUPANGA.kupanga ni kuamua unataka ufanye nini....na kama hujapanga ni vigumu kujua...
habari wa ndugu
nina mdogo wangu nyumbani ni wa kiume (30yrs) kuna tabia ya tofauti nimeiona nayo ni kupewa vyakula na mazawadi na mke wa jirani yangu wakati mwingine anaenda huko na kuongea yani hii tabia inanitia wasi wasi haswa hili swala la kupewa chakula nakuta mahot pot maziwa nk nyumbani...
Habari ba ndugu,
Wife hayupo nimebaki na house girl cha ajabu anatoa best customer service ukarimu wa hali ya juu mpaka magoti anaponinawisha da sio kawaida yake anapokuwepo mke wangu sasa najiuliza hii huduma nzuri ninayopata nirudipo home ni ya kweli toka moyoni au ni tego mbona akiwepo wife...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.