Search results

  1. Mtu wa Kawaida

    Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

    Nadhani wamelewa ni umbali wa kwenda chini ardhini na sio kuyatoa maji mto Wami au Ruvu Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
  2. Mtu wa Kawaida

    Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

    Duh¿¡¡ Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
  3. Mtu wa Kawaida

    Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

    Mkuu nina nyumba yangu eneo la Mkata mkoani Tanga, je kwa makadirio yenu mnaweza kuchimba umbali gani kupata maji? Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
  4. Mtu wa Kawaida

    Rais Magufuli awataka TRA kuacha kubambikia wafanyabiashara kodi, asema wanakadiria kodi kubwa ili wapewe rushwa!

    Nakuunga mkono mkuu ila kwenye ushauri uliutoa ningeongezea bidhaa za vyakula ambavyo ni muhimu kama unga, mchele, maharage nk, visiwe na VAT Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
  5. Mtu wa Kawaida

    Naombeni stori za njaa ya 1988 na Elnino ya 1998

    Mzee wa Kanda Maalum aka Rorya
  6. Mtu wa Kawaida

    CHADEMA tunaporejea kwa kishindo, tahadhari

    "Kwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf.mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia...
  7. Mtu wa Kawaida

    TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

    Aliwadhamini CHADEMA na haukuilipia hata senti moja. Yeye alikuwa ni mdhamini wa CHADEMA kwenye malipo
  8. Mtu wa Kawaida

    UCL Final: PSG Vs Bayern Munich

    Angalia kwa kupitia YouTube. Wanaionyesha bure
  9. Mtu wa Kawaida

    UCL Final: PSG Vs Bayern Munich

    Angalia YouTube manake wanaonyesha hii game
  10. Mtu wa Kawaida

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

    Mkuu nao kule kwa Trend ya utabiri wa Nyani Ngabu kuhusu lidubwashwa umekula kona imekuja huku kusema yale maneno yako ya chuki dhidi ya Mwana wa Adam mwenzio
  11. Mtu wa Kawaida

    Tundu 'Frankenstein' Lissu

    Vipi kamanda je unakumbuka haya maneno yako?
  12. Mtu wa Kawaida

    TANZIA Arusha Wing tumepata msiba wa mwenzetu Freetown

    Poleni sana kwa wafiwa. Mola ampatie pumziko analostahili
  13. Mtu wa Kawaida

    Ukuta Shule ya Sekondari Ngasaro, Shirati Rorya waanguka. Wanafunzi wawili wafariki

    Kumbe watu wa Kanda maalum ya Rorya wapo wengi humu kwenye jukwaa
  14. Mtu wa Kawaida

    Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020

    Ni balozi wa Tanzania nchini uingereza( UK)
  15. Mtu wa Kawaida

    Mchikichini: Mtaa wa mateja uliotoa vipanga wengi kielimu Dar na mikoani

    Nasie tuliosoma wakati wa Baba wa Taifa tucomment wapi? Kwani hatukuwa na vitu kama Tution.☻☻
  16. Mtu wa Kawaida

    Naona shule zimeanza ukorofi, wanatoza ada ya muhula ambao wanafunzi wamekuwa nyumbani

    Hivi huyu mtoto ambaye kwa kumuongezea masaa mawili kila siku ya masomo hamuoni kama mtauchosha ubongo wake badala ya kumsaidia? Pili yale mapumziko yaliyowekwa katkati ya term ya masomo yana maana kubwa kwa mtoto kuweza kujenga ubongo wake ili uweze kuelewa masomo yake vyema kwa hiyo nafikiri...
  17. Mtu wa Kawaida

    Mazda kwanini hazipendwi Tanzania ilhali bei yake ipo chini?

    Kwa Ulaya hapana, Gari zinazoheshimiwa sana na kutumika in za Ulaya kuliko za kijapani nikiwa na maana Gari za Jamii ya Toyota hawaziamini kama Gari zao. Ambazo ni Ford, Citron, Renault, Bmw, Mercedes, Audi ,Volkswagen Volvo, na Jamii za Gari nyingine made in Europe.
  18. Mtu wa Kawaida

    Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

    Naomba tuweke kumbukumbu sawa UK bado hajaweza hata kupima watu 15,000 kwa siku. Kwa hi yo rekebisha hizo taarifa yako
Back
Top Bottom