Search results

  1. C

    Sakata la EAC: Watanzania tuache Political Mobilization, Tufanye Economic Calculations

    Mkuu huu ndio ukweli,safari hii lazima tuwe makini zaidi.
  2. C

    Master PLan ya Mji mpya wa Singapore

    Wanasiasa wanawaogopa wapiga kura wao.Hata mipango ya kuleta maendeleo inakuwa ni hadithi isiyoisha.!!!
  3. C

    Master PLan ya Mji mpya wa Singapore

    Mkuu Halmashauri zimeshindwa kusimamia ukuaji wa miji.Yaani Dodoma isingekuwa na chombo kilichoundwa kusimamia mji,Dodoma isingepangika vile. Serikali pia iongeze fedha katika miji mingine na ikiwezekana iundwe Mamlaka ambayo haitakuwa inaingiliwa na Madiwani,kwani wao wanachangia usimamizi...
  4. C

    Master PLan ya Mji mpya wa Singapore

    Mkuu Halmashauri zimeshindwa kusimamia ukuaji wa miji.Yaani Dodoma isingekuwa na chombo kilichoundwa kusimamia mji,Dodoma isingepangika vile. Serikali pia iongeze fedha katika miji mingine na ikiwezekana iundwe Mamlaka ambayo haitakuwa inaingiliwa na Madiwani,kwani wao wanachangia usimamizi...
  5. C

    Master PLan ya Mji mpya wa Singapore

    Mkuu nilikuwa nashauri,tujaribu kupanga miji yetu vizuri katika hizi Wilaya mpya zinazoanzishwa kwa kufuata Mipango miji ya kisasa: [1].Tutafute wilaya mpya chache tuanze nazo na iwe mfano kwa Madiwani,kwani wao ni waamuzi katika ngazi ya chini wasio elewa umuhimu wa kuwa na miji uliopangika...
  6. C

    Jangili : Frank Willium Ojungu Na Genge La Meno Ya Tembo Wetu

    Kibaya zaidi,watawala wanayaweka maisha ya watumishi wa umma hatarini.!sasa kazi imefanyika,ushahidi umepatikana ,kweli nani atakubali kufanya kazi za hatari katika kufuatilia mambo yanayofanywa na mitandao ya viongozi?Awamu hii,itaondoka na rekodi mbaya sana,historia itawahukumu.
  7. C

    Zitto amuanika Waziri wa Ujenzi, John Magufuli kwa upotevu wa Tsh 252 Bilioni

    Ndio maana Walaji wakashawishi kuvunjwa kwa baadhi ya Kamati za Bunge,na Kuzuia Taarifa ya CAG isijadiliwe bungeni,na mwanya huu na utaratibu huu utatumika kuchukua fedha kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015.
  8. C

    RPC Mtwara: Wananchi kaeni mkijua ya kwamba hizo vurugu mnazozipanga kesho sisi tumejipanga vilivyo

    Nahisi,ili kuwepo kwa ahadi mbalimbali za kuwapa matumaini watu wa kusini zitaendekea kutolewa katika kila Wizara yenye miradi kusini ya nchi; Mfano Wizara ya ujenzi wanasema kipande cha barabara kilichobaki kitakamilika Disemba mwaka huu,na Wizara ya Nishati watatoa ahadi zao kama bajeti...
  9. C

    Mtwara: D.B SHAPRIYA Vs DANGOTE...

    Shapriya,hii,kama,sikosei,ina,uhusiano,na,kampuni,ya,ujenzi,ya,ROSTAM,AZIZ,iliyopata,tenda,yakusomba,vifusi,katika,mgodi,wa,mwadui. Hapo,siasa,itakuwa,ina,nafasi,kubwa.
  10. C

    Nimeamua kumsaidia Kikwete... Aangalie hapa achukue hatua

    meli-katika-ziwa[Tanganyika,Victoria,Nyasa],sio-za-kununua,bali-ni-zinatakiwa-zitengenezwe-Tanzania.Kwanza,inabidi,kupata-kampuni,iliyo-tayari-kuweka-WORKSHOP,ya,kutengenezea-meli,katika,ziwa,husika. Meli,ndani,ya,bahari,hakuna-shida,zenyewe,unaenda,kununua,moja-kwa-moja,kutoka-kwa-MUUZAJI.
  11. C

    FASTJET- Kumbe hawatanii

    wafanyabiashara wengi Tanzania wamezoea kuweka bei bila kujali hali ya soko,mfano kila siku bei zinapandishwa kwa visingizio vya thamani ya dola kupanda,siku thamani ya dola ikishuka hapa tanzania hakuna mfanyabiashara anayeshusha bei .!!!!,hili ni fundisho kwa wafanyabiashara kupanga bei kwa...
  12. C

    Bendera ya taifa inafanya nini kwenye jengo la ibada?

    Bendera hii imesahaulika baada ya mapokezi ya wageni wa kitaifa wapitao barabara iliyo kando na kanisa hili.!!!
  13. C

    Mshahara wa Mrisho Ngasa KUFURU!

    mpira wa bongo fitina nyingi,na hasa unapochezea kilabu za Simba na Yanga.
  14. C

    Viongozi wa CCM na Serikali sasa jino kwa jino kuonyeshana Ubabe

    Job description ya DC?,daily action plan? Bado semina na mafunzo wa Viongozi zinatakiwa kufanywa tena,na wapewe mtihani wa darasani ili kupima uelewa wao.
  15. C

    Nani akinusuru Chuo cha Ualimu Korogwe?

    Awamu hii taasisi nyingi hazipati fedha ya kutosha,usishangae matatizo yapo kwenye Tasisi kama hii.Mambo mengi hayafanyiki kwa uwazi katika kuzihudumia taasisi zilizo chini ya wizara ya Elimu,hii ni kwa sababu ya Ubinafsi,na kutokuwa na nia ya dhati ya kuwasilisha na kushughulikia matatizo...
  16. C

    Nchi yetu Inavyodharauliwa na Wakenya

    kweli,atakuja kujiongezea utajiri wa makampuni yake.Nasikia siku za nyuma palikuwa na balozi wa kenya alikuwa anafanya biashara Dar,na hakuna chombo cha dola kinachowazuia kufanya biashara bila kufuata taratibu,KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO.
  17. C

    Be careful if you are in Dar es salaam.

    intelejensia ya polisi,sasa wabadili mbinu ya kazi,waendane na mabadiliko ya teknolojia.
  18. C

    Dar es Salaam Mpya: NSSF kuanzisha miradi mikubwa jijini; Mwisho wa malori kuingia jijini wawadia

    uwekezaji UDOM,fedha ilisharudishwa na Serikali?!!,na fedha hii itarudishwa baada ya muda gani?!!
  19. C

    Jiji la kinshasa nchini jamhuri ya kidemokrasi ya kongo

    Hii ni mipango kama ya KIGAMBONI CITY.!!!!!
Back
Top Bottom