#ChinaMade Nakumbuka mwaka 2011 nikiwa chuo mwanafunzi wa mwaka wa pili pale iringa SAUT nilipata likizo ya kurudi nyumbani mbeya kwa ajili ya sikukuu ya christimass na mwaka mpya,nilipofika mbeya nilimkuta baba yangu kanunua simu aina ya samsung duos kwakweli niliipenda sn lakin baada ya...
Kwa alie tayari kuja lindi nachingwea idara ya sekondari mimi niende njombe ,iringa ,mbeya tuwasiliane kwa 0655292617 au 0757292617 karibu lindi nachingwea
Kwa wakaz wa dar natafuta pikipiki boxer rangi nyekundu ambayo no zake zianzie C.. na iwe imetumika chini ya miezi nane km unayo ni pm au wka no yako nikucheck kwa hewa na unitumie picha zake niione tufanye biashara.
Kaka usitetee ujinga wa huu mfuko me navyokwambia mstaff huyu ninaemwona anahangaika mpk ss kudai mafao yake ni ndugu yangu na kila kitu kakamilisha bt wanamzungusha tu hapo mbeya mara tuyapiga cm dar mara cjui unashughulikiwa kuwa mvumilivu toka mwez wa sita till nw
Jamani naomba ushauri kuhusu huu mfuko kwasababu wastaafu wengi wanalalamika wanachelewa lipwa mafao yao kwa wakati mtu kastaafu mwezi wa sita mpk ss hajapewa mafao yake na data zote kapeleka sehemu husika haki kweli hii au pesa zetu zinaliwa huko jamani
wewe mzazi unajifanya una akili sn na ukitaka mtt wako aharibike endelea kumtetea kwa mambo ya kipumbavu eti asipigwe bakora mtoto wakiafrika km unaona anaposoma mpeleke ambako hawachapi au kaa naye nyumbani kwako mfundishe,ONDOA HOJA ZA KIJINGA HAPA UNATUMALIZIA BANDO TU
kiukweli vocha hizi zinatuokoa watu wa kipato cha chini hebu fikiria 20 DK mitandao yote,300 sms na 125MB kwa 500tshs wkt voda 500tshs ni Dk 8,sms 300 na MB40 voda tupa kuleeee navunja line ss hv
Idara ya sec njoo Handeni Tanga shule iko jirani na korogwe mjini hivyo unaweza kaa korogwe mjini na kufanya kazi uwe unatoka Morogoro town,chalinze,mlandizi,tanga jiji, na kibaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.