Duh, namkumbuka sana huyu Babu mwaka 2010 alipomtupia dongo Askofu Kilaini kuwa enzi akiwa kwenye dini kama mkristo mkatoliki angeenda kuungama kwa uongo wa Askofu. Baada ya kuzidiwa hoja na Kilaini Babu alifyata mkia.
Mungu akurehemu Njelekela, kama hatujakosea hawa kinanjelekela wanaweza kuwa wanatoka jirani na kizazi kile cha kina MUTWA WA VAHEHE, mwakajana tu walikuwa mkoa mmoja na sasa wapo mkoa mpya. Poleni wanyasa wa huko Ludewa
Niliamini kuwa wanyaki ni radicals lakini wazee wa mila na vijana wa kada mbalimbali kupitia taarifa ya habari ya STAR TV jana, ilionesha watajimaliza wenyewe kwa unafiki wao. Wanajidai kulaani maandamano na kuona chadema ni chama chenye fujo huku wiki mbili tatu zilizopita wakati kambi ya...
Gazeti la mtanzania bwana! Waanze kuwa mashahidi namba moja! Nikiliona namkumbuka mbunge wa zamani wa igunga........ Hivi aliitwa fisadi papa au fisadi nyangumi?
Hii ni dalili wazi kabisa sasa inayoonesha jinsi gani watu wanataka kuua CHADEMA kwa kukishinikiza na udini. Ninasema haya kwa sababu gazeti la Jamhuri limeandika historia ya Joseph kuwa kasoma seminari na amefanya kazi VATICAN hadi unashangaa! Kuna uhusiano gani wa kuhusisha ukatoliki na...
UMEWAHI FUNDISHA VYUO VYA ELIMU YA JUU WEWE! Kuna kazi! Kuna wadada wanajilengesha kama nini? Tena wanapenda sana kuingiaingia kwenye ofisi za wahadhili bila hata woga. Wakifika ofisini Mikao yao kama picha hiyo ya Mleta mada. Yaani ametega unafikiri yupo Kimboka Buguruni. HATA NINGELIKUWA MIMI...
walitumia hela nyingi sana kukusanya watu kutoka matombo, mgeta, kiloka, mkuyuni na maeneo mengi ya milimani. Wengine waliwapa elfu kumikumi lakini wakala na hawakusogea kwenye hizo mbururala zao.
Kada ya elimu: Msomi anaishia shahada ya kwanza serikali ya ccm haitambui kabisaa shahada ya pili, na hicho cheo hakipo katika serikali ya ccm. Hii ni hatari kubwa.
"make more friends than enemies when you are growing up" kwani hujui mtakutana wapi! Hao wanaosema umeshika pabaya cdm si muda mrefu watakuacha upotee mwenyewe!
kama ungelikuwa umefanya utafiti vizuri usingeacha kutaja wachagga na wahaya. Hawa ndo wanaongoza wengine cha mtoto. Siku hizi nimesikia hata kina mwanakampwala na wale wa turiripereke kituoni wanakuja juu.
Majibu ya shonza ni kama ya mlevi aliyelewa pombe aliyonunuliwa bila kuitolea jasho. Hajataka kufikiri wala kuitesa akili yake hata kidogo. Muda huu si wa kuongea mambo ya udini wala ukabila hata kidogo. Jaribu kufikiri nje ya box.
Hivi wananchi wa GEITA wanaposikia kauli kama hizi watakuwa...
KUFIKIRI KWETU LAZIMA KUWE NA MASHAKA. MBONA SASA HIVI POLIS WENGI WAMESOMA? KWA NINI WANASHINDWA KUFIKIRI KWA VITU VIDOGO AMBAVYO HAVIHITAJI HATA SHULE? HIVI TANZANIA DAIMA UNAWEZA KULINGANISHA NA MAGAZETI YA AL NUUR NA AL HUUDA au NYAKATI? OH, LORD RESCUE IDIOTIC THINKING
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.