You're very wrong my friend. kwanza spelling za hilo jina, pili, kama kuna mtu amekwambia kuwa Muhammad (pbuh) ndie alieanzisha uislam huyo amekudanganya. na km kuna mtu amekwambia kuwa Yesu (amani juu yake) ameanzisha ukristo nae pia kakudanganya. go do your homework properly.
Leviticus 11:7: And the pig, though it has a divided hoof, does not chew the cud; it is unclean for you.
Deuteronomy 14:8: The pig is also unclean; although it has a divided hoof, it does not chew the cud. You are not to eat their meat or touch their carcasses.
Hivi huu waraka aliutoa ktk gazeti au ulikufikiaje? km aliutoa ktk gazeti basi amekusudia kufanya hivyo kwa lengo la kujiongezea umaarufu kuwa yeye ni "mzee wa busara", na wasomaji wake wamuone hivyo.
Ameshindwaje kuwakabili wahusika na kuwamwagia "busara" zake?
Tatizo la timu zetu ni katiba. once katiba ikishaandikwa kuibadili kimbembe. kesi haziishi -- chanzo katiba. na haibadilishiki bila kuwa na kura za wajumbe kadhaa -- hapa ndipo nilipolenga -- rushwa,chuki,ubinafsi.miaka nenda tuko pale pale.
Wadau,
Ningependa kujua kuhusu TOEFL (Test Of English as a Foreign Language). Wapi ninapoweza kujisajili kufanya mtihani huo na huwa unafanyika mara ngapi kwa mwaka.
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.