Wapendwa wasaka ugali . hivi kuna mtu anajua chochote kuhusu interview ya Bank Tellers Mtwara (NMB), mm naona kimya sjui wenzangu mshaitwa???? tujuzane please
Shime watanzania wote ,
Jamani kuna maisha marefu sana baada ya uchaguzi its about five years until next election.
Wagombea wote kwa siku hizi zilizobaki mi naonelea vyema wakahamasisha amani na utulivu kwa wapiga kura wao na kuacha maneno ya kejeri na uchochezi , ni kweli kwenye kampen kuna...
Hii ni serious kidogo, kama huna mchango ni vyema ukapita sio laziama useme , sasa back to topic nina mke ambaye nina miaka naye kadhaa na sijawahi kutoka nje ya ndoa pia yeye naamini vivyo hivyo huwa tunaridhishana na kufurahishana kwa njia mbalimbali ikiwamo kuzama chumvini na kulamba koni...
Tangazo : Polisi mjini (Dar) hapa wanamtafuta mtu mmoja aliyejipiga risasi na kufariki dunia papo hapo baada ya kukimbia na kutokomea kusikojulikana , Zawadi nono itatolowa kwa yeyote atayemuona.
Kuna dogo mmoja mwanafunzi wa darasa la kwanza , sasa si unajua tena walimu wanapenda kufundisha kwa mifano halis ili watoto waelewe ,
Mwalimu. Ehee Musa mama kaweka mandazi matatu mezani akaupa mawili unywee chai yanabaki mandazi mangapi?
Musa. Mwalimu ukinipa na thupu halibaki hata moja...
Jamani wakuu heri ya Mwaka mpya 2015
Hivi inakuwaje kila siku wewe Dada/Kaka kutwa unashinda unamlalamikia mwenzio kuwa anakusaliti.
Hebu jiulize kwanini anafanya hivyo, yule unayemhisi kakuzidi nini, anafanya kitu gani cha ziada mpaka mumeo/ mkeo anachelewa nyumbani badala yake anapita kwake...
Hivi umeolewa na ulipokuwa unaolewa umemkuta mumeo ana mtoto, tumuite mtoto wako wa kufikia then na wewe umejaliwa na Maulana ukapata mtoto je ni sahihi ukiulizwa na watu kusema kuwa una mtoto mmoja na je watu wakija kukutembelea uanamtambulishaje mtoto wako wa kufikia kwani ushasema wewe una...
Kwa wakubwa tuu
wanawake mloolewa acheni kubana miguu asubuhi tupeni mambo, hii inatusaidia kuwa freshi siku nzima kazini bila mawazo ya naniliiio, mimi nikipiga asubuhi yaani mchepuko nitauwaza saa ngapi?
Zingatieni hili wadada kudumisha ndoa na mapenzi kwa waume zenu
heshima mbele wakuu,
kwanza natanguliza shukran kwa Mwenyez Mungu mwingi wa Rehema, sasa wakuu hili jukwaa nadhan lipo kwa ajili ya kusaidiana kwa sisi vijana wa kitanzania ili kuepukana na hizi njaa na umasikini kuna kainterview vijana wengi tumeitwa huko TRA for written , sasa wanajamvi hebu...
Nasikia FIFA baada ya uchunguzi wa kina wameamua kumsamehe Suarez kwa sababu wamegundua yule beki alomng'ata ni binamu yake , wametumia principle ya Binamu nyama ya hamu.
Jamani wanajamvi msaada tutani , mke wangu ananishangaza sana.
Kabla sijamuoa nilimpa taarifa kuwa nina mtoto na akakubali kuwa atamlea kama mwanaye na akashauri nimchukue kutoka kwa mama yake ili tuishi naye sasa siku zikawa zinakatika mtoto umri umesogea na mda wa kwenda shule umefika ikabidi...
Kuna kampuni moja ilitangaza kazi ya makatibu mukhutasi (Personal Scretary), basi katika mchakato wadada watatu wakaitwa , interview ilikuwa kama ifuatavyo,
Bosi: Nawauliza maswali ya kupima ufahamu kabla sijaanza usahili ya kitaaluma.
Watahiniwa wote kwa pamoja: Sawa tupo tayari
Bosi...
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa sijawahi kuingia Hotelini wala mgahawani,
sasa one day rafiki yangu akanipa offer ile kufika kwenye mgahawa wa kisasa kimtindo si nikaanza kupiga hodiii, hodiiii wacha rafiki yangu aangue kichekoooooo, wewe ulifanya yepi enzi za ushamba
Jamaaa kaopoa bone la Duu , kila baada ya sentensi mbili kiingeleza yaan yuo know you know nyingi tuu,
jamaa akaone huyu demu wa viwango vya kwa Obama , akaamua kumpeleka hoteli nyota tano wapate lunch then wafanye yao.
Muudumu: karibuni wapendanao naomba niwahudumie.
Mkaka: nipe menu kwanza...
Nike Condoms: Just do it.
Mentos Condoms: The freshmaker.
Macintosh Condoms: It does more, it costs less, its that simple.
California Lotto Condoms: Who's next?
McDonalds Condom: One Billion Served.
Energizer Condom: It keeps going and going and going...
Bandai Condoms: Action...
kwa kinadada wenye umri kati ya 18-35.
Kama ungekuwa na uchaguzi kati ya wanaume wawili kwa ajili ya kuwa na serious relationship; wa kwanza anakuridhisha, kukufikisha na kukidhi haja zako kitandani, ni handsome, sio domo zege, na ana mahusiano ya kingono na wanawake wengine.
Wa pili...
Basi juzi nisikia jamaa flan anamtambulisha mtoto wake kwa nduguye mabo yalikuwa hiviiiiii,
MTAMBULISHAJI: Basi mwanangu huyu hapa ni nguguyo kabisa ni mtoto wa bibi yake na shemeji wa binamu yake na baba yake mkubwa na mume wa wifi yake na dada mkubwa wa mpwa wa mjomba wako.
MTAMBULISHWAJI ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.