Search results

  1. prospa

    Walofanya Interview Bank Tellers NMB Mtwara

    Wapendwa wasaka ugali . hivi kuna mtu anajua chochote kuhusu interview ya Bank Tellers Mtwara (NMB), mm naona kimya sjui wenzangu mshaitwa???? tujuzane please
  2. prospa

    Wagombea wote katika uchaguzi huu, kwa muda uliobaki ni wa kuombea amani na utulivu

    Shime watanzania wote , Jamani kuna maisha marefu sana baada ya uchaguzi its about five years until next election. Wagombea wote kwa siku hizi zilizobaki mi naonelea vyema wakahamasisha amani na utulivu kwa wapiga kura wao na kuacha maneno ya kejeri na uchochezi , ni kweli kwenye kampen kuna...
  3. prospa

    Chumvini kumesababisha maafa, msaada tafadhali

    Hii ni serious kidogo, kama huna mchango ni vyema ukapita sio laziama useme , sasa back to topic nina mke ambaye nina miaka naye kadhaa na sijawahi kutoka nje ya ndoa pia yeye naamini vivyo hivyo huwa tunaridhishana na kufurahishana kwa njia mbalimbali ikiwamo kuzama chumvini na kulamba koni...
  4. prospa

    Breaking news....... Zawadi nono itatolewa

    Tangazo : Polisi mjini (Dar) hapa wanamtafuta mtu mmoja aliyejipiga risasi na kufariki dunia papo hapo baada ya kukimbia na kutokomea kusikojulikana , Zawadi nono itatolowa kwa yeyote atayemuona.
  5. prospa

    Utani kidogo ila kweli kwa wanaume wote

    Hata iweje na hata uwe na mapenzi na mkeo na huruma ya kiasi gani, lakini huwezi kumsaidia kubeba mimba mnabisha!
  6. prospa

    Sikiliza hii ina ukweli lakini

    Eti hata uwe na nidhamu vipi lakini huwezi kumpokea polisi bunduki............ unabishaaaaaa
  7. prospa

    Ukinipa na supu halibaki hata moja.

    Kuna dogo mmoja mwanafunzi wa darasa la kwanza , sasa si unajua tena walimu wanapenda kufundisha kwa mifano halis ili watoto waelewe , Mwalimu. Ehee Musa mama kaweka mandazi matatu mezani akaupa mawili unywee chai yanabaki mandazi mangapi? Musa. Mwalimu ukinipa na thupu halibaki hata moja...
  8. prospa

    Wanawake / Wanaume wajibikeni, jitumeni acheni uzembe

    Jamani wakuu heri ya Mwaka mpya 2015 Hivi inakuwaje kila siku wewe Dada/Kaka kutwa unashinda unamlalamikia mwenzio kuwa anakusaliti. Hebu jiulize kwanini anafanya hivyo, yule unayemhisi kakuzidi nini, anafanya kitu gani cha ziada mpaka mumeo/ mkeo anachelewa nyumbani badala yake anapita kwake...
  9. prospa

    Kwa kina mama wa kambo wote

    Hivi umeolewa na ulipokuwa unaolewa umemkuta mumeo ana mtoto, tumuite mtoto wako wa kufikia then na wewe umejaliwa na Maulana ukapata mtoto je ni sahihi ukiulizwa na watu kusema kuwa una mtoto mmoja na je watu wakija kukutembelea uanamtambulishaje mtoto wako wa kufikia kwani ushasema wewe una...
  10. prospa

    Wanawake mlioolewa Morning Glory Muhimu

    Kwa wakubwa tuu wanawake mloolewa acheni kubana miguu asubuhi tupeni mambo, hii inatusaidia kuwa freshi siku nzima kazini bila mawazo ya naniliiio, mimi nikipiga asubuhi yaani mchepuko nitauwaza saa ngapi? Zingatieni hili wadada kudumisha ndoa na mapenzi kwa waume zenu
  11. prospa

    TRA interviews / written

    heshima mbele wakuu, kwanza natanguliza shukran kwa Mwenyez Mungu mwingi wa Rehema, sasa wakuu hili jukwaa nadhan lipo kwa ajili ya kusaidiana kwa sisi vijana wa kitanzania ili kuepukana na hizi njaa na umasikini kuna kainterview vijana wengi tumeitwa huko TRA for written , sasa wanajamvi hebu...
  12. prospa

    Eti binamu nyama ya hamu ?

    Nasikia FIFA baada ya uchunguzi wa kina wameamua kumsamehe Suarez kwa sababu wamegundua yule beki alomng'ata ni binamu yake , wametumia principle ya Binamu nyama ya hamu.
  13. prospa

    Hivi Wanawake wote mpo kama huyu?

    Jamani wanajamvi msaada tutani , mke wangu ananishangaza sana. Kabla sijamuoa nilimpa taarifa kuwa nina mtoto na akakubali kuwa atamlea kama mwanaye na akashauri nimchukue kutoka kwa mama yake ili tuishi naye sasa siku zikawa zinakatika mtoto umri umesogea na mda wa kwenda shule umefika ikabidi...
  14. prospa

    Sikia hii inetrview ya masecretari watatu.

    Kuna kampuni moja ilitangaza kazi ya makatibu mukhutasi (Personal Scretary), basi katika mchakato wadada watatu wakaitwa , interview ilikuwa kama ifuatavyo, Bosi: Nawauliza maswali ya kupima ufahamu kabla sijaanza usahili ya kitaaluma. Watahiniwa wote kwa pamoja: Sawa tupo tayari Bosi...
  15. prospa

    Kituko cha mwaka 90

    Nakumbuka enzi hizo nilikuwa sijawahi kuingia Hotelini wala mgahawani, sasa one day rafiki yangu akanipa offer ile kufika kwenye mgahawa wa kisasa kimtindo si nikaanza kupiga hodiii, hodiiii wacha rafiki yangu aangue kichekoooooo, wewe ulifanya yepi enzi za ushamba
  16. prospa

    Sister duuuuuuuuuuuuuuuu

    Jamaaa kaopoa bone la Duu , kila baada ya sentensi mbili kiingeleza yaan yuo know you know nyingi tuu, jamaa akaone huyu demu wa viwango vya kwa Obama , akaamua kumpeleka hoteli nyota tano wapate lunch then wafanye yao. Muudumu: karibuni wapendanao naomba niwahudumie. Mkaka: nipe menu kwanza...
  17. prospa

    Nini maana ya kantangaze?

    Mi nimekuwa nikisikia tu , in town siku hizi kila mtu ooooh kantangazee, msaada tutani maana hata ukiomba papuchi utasikia kantangazeeeeee
  18. prospa

    Condom names v/s functions

    Nike Condoms: Just do it. Mentos Condoms: The freshmaker. Macintosh Condoms: It does more, it costs less, its that simple. California Lotto Condoms: Who's next? McDonalds Condom: One Billion Served. Energizer Condom: It keeps going and going and going... Bandai Condoms: Action...
  19. prospa

    Kwa wadada watu wazima tu

    kwa kinadada wenye umri kati ya 18-35. Kama ungekuwa na uchaguzi kati ya wanaume wawili kwa ajili ya kuwa na serious relationship; wa kwanza anakuridhisha, kukufikisha na kukidhi haja zako kitandani, ni handsome, sio domo zege, na ana mahusiano ya kingono na wanawake wengine. Wa pili...
  20. prospa

    Utambulishoo huu noma sana

    Basi juzi nisikia jamaa flan anamtambulisha mtoto wake kwa nduguye mabo yalikuwa hiviiiiii, MTAMBULISHAJI: Basi mwanangu huyu hapa ni nguguyo kabisa ni mtoto wa bibi yake na shemeji wa binamu yake na baba yake mkubwa na mume wa wifi yake na dada mkubwa wa mpwa wa mjomba wako. MTAMBULISHWAJI ...
Back
Top Bottom