Wapendwa wasaka ugali . hivi kuna mtu anajua chochote kuhusu interview ya Bank Tellers Mtwara (NMB), mm naona kimya sjui wenzangu mshaitwa???? tujuzane please
Jamani mi naona aloandika mzee Tupa Tupa ni ya kweli ila tuendelee kuvuta subira walau 100 days tutatoa tasmini yetu . sisi wapinzani ndo tunachokitaka nchi iendeshwe kwa haki na usawa, wasiwepo mabwenyenye katika nchi yetu. Nawasilisha
Ni kweli jamaa aliharibu NBC na hata NMB alitaka kuingia kimagumashi wakamkataa pia NBC holding walimkataa BP Tanzania wakamkataa the same person wala hajaonewa alipiga hela NBC ila kwa sababu alikula na vigogo akaachwa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.