Wana JF
Ni hivi juzi tu tumeshuhudia wanajeshi wakimpiga trafiki eti kawachelewesha kwenye foleni!
Sasa mimi ninajiuliza maswali kadhaa ambayo naamini hata wengine inawezekana wakawa wanajiuliza kama mimi
1. Je ni kweli trafiki aliwachelewesha wao wanajeshi tu au kulikuwa na watu wengine wa...
storage fee baada ya siku saba tangu kushuhswa toka melini, gharama za bandarini zategemea na aina ya gari pia na size ya gari, kwa kifupi ni hivyo wengine wanaweza fafanua, asante
1. kazi kuu ya vyombo vya ulinzi na usalama ni kuhakikisha amani ndani ya nchi yetu inakuwepo, sio eti hawa ni wanajeshi basi kazi yao ni kulinda mipaka wakati ndani sio shwari NO unajidanganya ndg!
2.Lakini pia yafaa ujue kuwa vyombo hivi vinafanya kazi kama mwili wa mwanadamu unavyofanya kazi...
jiulize kwa nn dr. ulimboka alikuwa na mawasiliano na watu wa ikulu huku akijua wazi kabisa kuwa yeye ndie kiongozi wa mgomo!
Mambo mengine huhitaji kuambiwa tafakari nn ilikuwa nia yake ulimboka kukutana na IGHONDU?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.