Hivi uda kumbe imeuzwa eeeh?mimi nilidhani kuwa jamaa wamenunua hisa asilimia 51 na serikali wana asilimia 49?uliza basi hata hapo kwa jirani yako hii inamaanisha nini,sio kubwabwaja tu kuwa uda imeuzwa!!!kwa jinsi nilivyomuelewa JPM ni kwamba ameanzisha mahakama ya ufisadi kama ngao ya...
Kwa hiyo mlitaka baada ya makonda kuhamasisha kupanda miti mlitegemea atakuwa akipitia kila mti kumwagilia?watanzania vichwa maji kweli yaani tunalalamika nchi ina ukame na sababu mojawapo ni watu kuharibu mazingira sasa leo anatokea kiongozi kama huyu anayeguswa na hali hiyo tunajitokea...
Hivi mnajua maana ya Rais kutoka hadharani na kuitangazia dunia kuwa Tanzania kuna njaa??au ndio point ya kutafutia kiki kwa sasa kwa sababu siasa za upinzani nchi hii ni za matukio na sio issues.mvua zimechelewa kunyesha kwa sehemu mbalimbali za nchi na kwa sababu hiyo kuna hofu/uwezekano wa...
Kwa hiyo nyie binadamu mnabishana hapa kuwa ni nani kawapa wenzenu mamlaka ya kumwomba Mungu kupitia kwa Bikira Maria lakini nyie mmejihalalishia mamlaka ya kwenda kukesha mkiwapigia magoti akina gwajima/kakobe/lwakatare/frank nani sijui etc ili wawaponye au sio?au hao niliowataja hapo juu ndio...
I hope kufikia muda huu kutakuwa na PM za kutosha umepata na may be ushalivua boooonge ya likambalefuta basi huu upupu wako hapa tuendelee na mishe nyingine!
Tumchague nani,Lowasa?hata kama utakuwa umenishikia smg kichwani bora nife na kalamu yangu mkononi kuliko kutiki kwenye kijedwari cha picha ya Lowas!!!!JPM kama angekuwa kwenye nchi ya watu wenye akili timamu wangekuwa wanafanya sherehe kila siku kushangilia kuwa na rais kama huyu,but cha...
Unajua uliposema kamfunika nikashawishika kuja kuona kamfunika kivipi na wapi,kumbe kamfunika kwenye viredio vya mbagala,tandika manzese na kwingineko bongoland?msichokijua ni kwamba diamond ameshatambua kwamba bongo siku hizi ni majungu na fitina so amelenga soko la kimataifa.sasa mchukue huyo...
Watu wengi humu mnamshauri mleta mada kinafiki na naamini wengi wenu ukishasema huku usirudiane nae unaenda PM kutongoza ujipatie wewe....just imagine ndio baba na mama yako wametengana hivyo na unaishi na single parent utajisikiaje?dad wako anakuja kwa maza baada ya kugundua kosa lake na...
Hana hadhi ya kuwa PM,yaani hapo umemdhalilisha sana Mh Majaliwa kwa kushauri nafasi yake apewe Makonda!!!!PM tuliyenaye yupo vizuri sana kiutendaji so acha kumvunjia heshima kumlinganisha na huyo dogo wenu.
Wewe bado unampenda huyo x wako na kuna siku atakuja kuutumia huo udhaifu kuiharibu ndoa yako.ukiolewa na rafiki wa x wako utakuwa umevunja urafiki baina yao na kitakachofuata ni kisasi,huhanga utakuwa wewe,trust me kuna siku huko mbeleni utamvulia kyupi tu!!!!
Yaani mmeamua kwa maksudi kabisa kukesha mitandaoni kumtafutia kiki king wenu kupitia jina la Diamond!!!!!mwenzenu anatengeneza pesa nyie mnatengeneza majungu/fitina,mnajitekenye na kucheka wenyewe
Tatizo letu ni namna tunavyowaza/tunavyofikiri na sio darasa.unaamua kwa makusudi kuua elimu ya ufundi/mafundi mchundo wakati unatangaza kuwa unaenda kwenye uchumi wa viwanda....that's how viongozi wetu wa sasa wanavyowaza and still wanadhani kuwa wao tu ndio wanajua kuliko wote!!kwa mwenye...
Hawako uchi but mavazi waliyovaa yanawafanya waonekane kama wako uchi,tulia utazame upya.sijaona hiyo video ikionyeshwa sana mida ya mchana kwenye tv stations za Tanzania.anyway,sio video nzuri kutazama ukiwa na familia kwa jinsi ilivo
Unajua watu wanashindwa kuelewa kwa nini watu wanaandamana,ukweli ni kwamba H. Clinton ndiye wapiga kura walimchagua lakini kutokana na mfumo wao wa uchaguzi aliyetangazwa mshindi ni mwingine, kwa ushindi wa electro votes.not fair at all but ndio mfumo mliojiwekea inabidi kukubaliana nao!!
Kama umepanga huko hama hulazimishwi na mtu kuishi mbezi,na kama umejenga ni afadhali yako kwani zile gharama za kodi unakuwa unahamishia kwenye gharama za usafiri!!!!waswahili mnachosha kweli na malalamiko ya ajabu ajabu.
Kuna wengine wanashangilia eti ashinde DT aje awanyooshe madikteta na magaidi,wanachosahau ni kuwa watakaoumia zaidi ni watu baki kama wao.marekani anapokwenda kushambulia waarabu huko anaowaita magaidi,na kwa kuwa nchini kwao marekani wanakuwa wameweka ulinzi wa ziada...hao magaidi option...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.