mafisadi mbona hawatafutwi na hawa mbwa wa ccm (polisi), tumechoka tunatafuta mabadiliko kwa njia yoyote ile. anne makinda kutukanwa ni sawa kwani anayofanya bungeni ni zaidi ya matusi aliyotukanwa. TUTASHINDA
kura mbili za hapana kwa kikwete ni fedheha kuu kwake, yaani makamu mwenyekiti hawakupata kura hata moja ya hapana ila yeye anapata, kweli hana mvuto ndani ya ccm na hata nchi kwa ujumla
kweli ni haki ya zito kutangaza nia, ila ikiwa anahiden agenda atakuwa anakosea sana na atarudisha nyuma harakati za CHADEMA kupigania mackini. bro zito fikiria sana kuhusu haya
hata kama n JIHAD WAR c hivi, waislamu tumenda mbali zaidi, hebu wakati mwingine waislamu tutawaliwe na busara na c hasira na itikadi kali ambazo tumeimitate from mataifa ya kiarabu. wale walikuwa ni watoto wakbishana, na ikatokea mmoja wao akatumia akili za ktoto akafanya tendo lile baya,so...
its my first time and 1st opportunity to say hi to u all my fellows, welcome in this pge of great thinkers so that we can cooperatively give views and opinions on politics esp TZ politics
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.