Hapo kwenye red, Mohamed Said, akiulizwa, na wakati wajibu, yeye hutoa upande ambao wengine hawajausema. Swali kwanini wewe ujue kile tu ambacho hata waliokuwepo hawajakisema? ila kwamba hawataki kukisema? unaweza sema kwa nini Ahmed Rajab na wengine wasiandike juu ya hao wamakonde wako?
Ni...
hao vijana wanatoka lini? nani aliwaningiza chamani? na kwa nini wanatoka? je wataenda wapi na kufanya nini? kwa nini walijiunga chamani?
mleta maada, hebu acha kuja na jaziba mnatapotezea muda kufikiria nyepesi nyepesi, toa tahdhmini kamili.
kwenye red, ndo maana wanataka Processing ifanyike mtwara/Lindi Ili investors wavutiwe kujenga karibu na resources!!! nadhani hiyo ndo mojawapo ya madai ya msingi.......jst thinking loud
Mchambuzi hongera hii maada!!
Awali ya yote nina jua kisheria mahakama imeruhusu uundwaji wa baraza la wanawake tanzania, ila sijui kama nani kwa sasa yupo tayari kusimamia uundwaji wake. Yule mama Profesa ndo hivyo tena, ametumia msemo wa wazungu "if you cant.... join them".
Swali langu je kuna...
hivyo Mlugo alifaulu form IV, au unakumbuka alijiunga hapo Songea boys na matokeo gani?. Huyu Omary Mjenga ndiye yule alisoma UDSM BA ps ?. Politik anaweka politik, kwa nini asiende huko Song boys kujua
wewe ni mwandishi, mchunguzi au mdadisi?
kama ulipata nafasi ya kuongea na Mh Mlugo hayo si maongezi kamili, wala usingeleta hapa taarifa (labda kama nia yako ni kuona upepo). Hebu muulize kaka/dada Mkuu wenu, mwl mkuu na mwl wa taaluma. Kisha ki ujumla matokeo yalikua je? yaani div one all to...
Mleta uzi pole, jipange tena, hiyo ndo biashara!
wana jf
Mtoa mada apewe, benefit of doubt, naona wengi mna tafuta kajiunga lini, badala ya kutafiti ukweli ndani ya ujumbe wake.
1. hawezi kuwa ameropoka tu, ila fikiria mfanya biashara umepewa ahadi na Branch manager kuwa utapata hiyo tenda...
Kwa mfano nchi yetu ya Tanzania iko chini ya kiwango cha ongezeko la watu hapa duniani ukilinganisha na nchi nyingine zilizoko dunia ya tatu. Tanzania ina ukubwa wa eneo la mita za mraba zipatazo 342,100, karibu sawa na Misri ambayo ina ukubwa wa mita za mraba zinazofikia 384,300.
sahihisho...
Mtoa maada, kwanza pole. Naamini na wewe ni mmoja wapo wa wanaokereka na vichwa vya habari vya magazeti yetu ( excluding udaku) mara nying haviendani na habari yenyewe, tena mara nying ni vya kushadadia.
Jambo nyinegine habari zinaletwa zina acha maswali kwa msomaji, hata hiyo habari ya maruku...
Aliongea na waandishi wa habari au waandishi wa habari walimuuliza?
mimi for sure hawa waandishi siwaelewi kabisaa? kwanini wasiulize Faridi na Pond wana kesi gani mahakamani, au je yale maazimio yapatayo 11 na ushee yote ndo wapo mahakamani? hawa waandishi walitaka kuambia jamii nini amaeongea...
Mtoa mada, hii mada yako ni Nzuri, ingawa umemjibu hoja nzito bandiko la 4 kiujumla anagalia bandiko lako na 5. hiyo ni hatua ya juu sana!! hebu kwanza tuzibe mianya iliyopo, tuone kama serikali bado inatatizo la kifedha. sababu kuna mianya mingi, na matumizi mabaya hilo kila mtu analijua hata...
Ndugu zanguni
idadi yetu na ongezeko la watu ni sawia kabisa, tena hatuongezeki kwa kasi!! moderate increment
Ili tusizaliane ni lazima tuchukue idadi yetu tugawe na square m, ili tujue watu wangapi katika mita za mraba na pia tutoe projection za ongezeko. kwa haraka haraka hapo juu 34m mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.