Kimsingi inasaidia sana. Kuna siku kiukweli, hangaika hangaika zangu kikawaida ziligonga mwamba, nilikuwa nahitaji 50,000. Kwa jamaa na ndugu nilikosa, nikakumbuka nilishawahi kopa TALA, nilifikishaga 40,000; nikawacheki tena, aisee, nilipewa mkopo wa 60,000. niliokolewa na huo mkopo. So ni...
Shida ya wengi ni returns za nyuma hazijafanywa, pia hawana hesabu zilizo kaguliwa, sababu system inataka hizo nyaraka ndipo uupdate. au iko kivingine?
Acheni kutuharibia... Wengine tunakopa vizuri tu na kurejesha japo ni pesa ndogo ndogo.. Mkiletewa urahisi mnadai Igumu, mkiletewa ugumu mnalalamika... Duh wabongo hawaeleweki... Badala ya kukopa huko na urejeshe unatafuta kuwambia hatari iliyopo ...washafanya Risk analysis ...so waache wafanye...
ML 2 NI NDOGO SANA AISEE, INAHAMASISHA WATU KUENDELEA KUTUMIA NA KUJIHUSISHA NA DAWA ZA KULEVYA...BORA KUSINGEKUWA NA AU FAINI...INGEBAKI SERO MIAKA HIYO ILI WENGINE WAOGOPE JAPO KIDOGO...SASA IYO 2ML SI ANALIPA KWA MPESA TU?
Umeeleweka mkuu. Uko vizuri. Wakati unanielewesha, pia kuna baadhi tumewasiliana Kwa simu nikawaelewesha kwa kadri ya uhitaji wao, maana Upembuzi husika hutofautiana Kati ya wazo moja na lingine... Ndani ya JF sijaja kufanya upembuzi, nimeleta wazo kama ilivyo post, wapo wanaofahamu tayari na...
NASEMA HIVI MTU ALIYE JIAJILI NA AKAENDESHA MAISHA KAMA KAWAIDA BILA KUJALI UKUBWA WA KUJIAJILI KWAKE, HUYO NI BORA KULIKO MWAJILIWA NA MTU AU TAASISI YOYOTE... MIFANO TUNAYO, ILA JEURI YA WAAJILIWA NI ILE TOKEN YA KILA MWEZI, ALIYEJIAJILI HANA TOKEN YA MAWAZO HATA KAMA NI NDOGO, HANA MWISHO WA...
Wabongo tunapenda vitu vya bure ktk mambo ambayo wengine ni kazi... Utadhani tunaomba maji ya kunywa nyumbani kwa mtu... Kumbe wenzio wamewekeza mda, maarifa na pengine wanalipa kodi serikalini, kodi ya pango nk. Watanzania ukiona kuna maarifa huna na unahitaji sana, tuache kudhania mawazo ya...
Hello wadau,
IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS, pamoja na shughuli nyingine katika field ya "Project development services", Leo nahamasisha wadau katika uwekezaji kiuchumi na kijamii.
Kila siku watu wanawaza kuwekeza katika miradi mbalimbali, wapo wanaofanikiwa na wanaokwama. Sababu za kufanikiwa au...
Personally siku nikikwama nitakuconsult.... But for now am good! Sijalalamika, sijalalamikiwa! since 2011, nimefanya proposal assignments kadhaa, na wateja waliridhika na zilisaidia ktk malengo yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.