Mjengwa hapa umeelezea furaha yako lkn sio kile ulichoelezea its pity kuelezea your private ktk Natioanal Dialogue of Next 50 years Is not about you! Maggid is about Tanzanian Sorry kuteleza~!
ni Mazingaombwe mtupu tatizo hakuna uwazi ktk kila kitu huwezi pata data kamili. CCM JUU ya kila kitu Propaganda ndio kitu kinawafaa watanzania, Uchumi lazima uwe na Impact na mwananchi wa kawaida through Madawa hospitalini na Huduma bora za afya majengo vitendea kazi vya Ops na ubora wa Hosp...
Wametoa mawazo yao na msingi Deo ndo aliyetoa nn watanzania wengi wanakosea Kuhusu CCM, na Tanzania CCM ni Chama kinachopata ridhaa ipo siku inaweza kukosa ridhaaa hiyo na bado Taifa likaendelea miaka 30 iliyopita Kenya walidhani Kanu ndo Kenya na Unip ndo Zambia but Vipi leo? Au Kamuzu Banda...
Hivi Makamba katokea wap? mpaka atoe kauli kama hiyo kama siyo kubebwa na baba zake na shemeji yake RA, Ingawa sio chadema lkn ZIto alipotokea na Consistency yake ktk jimbo ni uwezo tosha wa yeye ni Mwanasiasa wa aina gani, Vijana wote walio ndani ya CCM wamewekwa pale majina ya baba zao au mama...
Sasa Nape amebaki mdogo sana si kama alivyokuwa kabla ya Februari 2012 pale Lowassa alipopasua jipu ktk Halmashauri kuu dodoma na leo Mukama, Msekwa na Chiligati ni wastaafu kabaki peke yake ndani ya Secretariat sasa atafanya kazi na Lowassa as long as Lowassa alive
Nyerere ni mtu mwenye akili sana anapotaka jambo lake lifanikiwe mbona akumuuliza baba yake kwanini aliitwa kambarage nyerere? kwa kuwa akuanzisha yeye au kusimamia neno Tanganyika so halina maana Tanzania kalisimamia yeye so wote tufuate ni ujinga sana,
England ipo pale milele haitofutika...
kitu cha kwanza Africa kinachozuia maendeleo ni vyama vilivyoleta Uhuru, pili kwa AU ungekuwa Umoja wa kiuchumi zaidi kuliko sehemu ya Picnic kama ilivyo sasa kila nchi wangepewa target ya ukuaji wa uchumi at least tungekuwa na uchumi wa Dola 3000 nchi zote tungekuwa na uwezo mzuri wa kufikiri...
Kitu cha kwanza ktk maisha ni Identity kenya wanajiita wakenya, tulipaswa Tuwe Tanganyika kwanza ndo tujiunge EA bila hivyo tutaburuzwa tu Zanzibar ijiunge ka Zanzibar.
Kenya wanasema ukweli dhidi yetu sio dharau kenya wapo kimaslahi zaidi wakati sisi tupo kihuruma zaid, Kenya walishirikiana na...
Deja vu, Namkubali Odinga kama Mzalendo wa kenya mwenye vision na Taifa lake, sio Magufuli yupo ktk Genge la Wahuni ni kweli kuna boom ya ujenzi wa road but kwa kasi ndogo sana sasa ni foleni zimezidi na usumbufu usio wa lazima kwa ujenzi wa barabara dar ulivyo haribika usimamizi ni mdogo wa...
Leaders kids of africa are bizzare, hawajui kitu wanaota wizi tu hawajiulizi kwanini watoto wa pele sio wachezaji?
baba zao wana penshen na wana contact kibao pamoja na wizi mkubwa tu hasa Malecela alikuwa close na wahindi kwanini asianzishe undustries akaajiri wagogo na kulipa kodi serikalini...
Dini ni imani so ukimdharau mwenzio kwa sababu ya dini ujui thamani ya imani yako, Mungu hatoi nafasi hiyo ya dharau only shetani utakuwa unamwakilisha shetani
To be honest naipenda Zanzibar iwe huru wawe na uhuru wao kamili wajiamulie mambo yao wenyewe na sisi Tanganyika yetu Irudi tutakuwa kama Russia na Zanzibar ni Georgia tutaishi bega kwa bega TUTASHIRIKIANA KAMA KAWAIDA KIUCHUMI NA KIBIASHARA KAMA ILIVYO sOUTH AFRIKA NA LESOTHO
Unapokuwa na mfumuko wa bei pia thamani ya shilingi lazima ishuke ni kitu kimoja au viwili vinavyoenda sambamba na kuinua hali ya uchumi ni kuongeza Uzalishaji wa viwandani na kilimo na kubana matumizi CDM walishasema watapunguza matumizi ya Serikali kwa kuwa na Serikali yenye mawaziri wachache...
Russia ilipata Uhuru twake toka Soviet union sasa watu wake wananeema kuliko mwanzo, why not for Tanganyika, Georgia ni Zanzibar Georgia ilikuwa inainyonya Russia uchumi wake lkn wote sasa ni nchi huru LIFE GOES ON! why Tanganyika au Zanzibar zisiwe huru? wacha ZNZ iende Tanganyika ni Russia
Mpango wa Dr Dau ni mzuri lkn wasiwasi wangu ni kwa ajili ya maendeleo ya nchi na wananchi? au ni kujinyakulia Prime Area kiujanjaujanja? kwanini asikae na wataalam wa ujenzi tukajenga reli za kisasa toka Kongowe - Posta, posta bunju na kibaha - posta kwa kuanzia ili tuone mradi utakavyofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.